MAKOLE
JF-Expert Member
- Feb 5, 2012
- 618
- 280
- Thread starter
- #41
Udom upepo sana,hostel za kutosha na ukichelewa adhabu yako utakaa chumba kizima mwenyewe,leo ni orientation course,inshort dom pazuri for book
Teh teh teh, wamekupa juu ghorofani rum yako nini? naona umeifurahia sana hiyo adhabu. angalia, kipindi cha kula karanga tupu kikifika usije ukaruka toka huko ghorofa ya nne