Elections 2010 Kuzimisha Mwenge wa Uhuri kwa geuka kampane ya Kikwete

KIDUNDULIMA

JF-Expert Member
Aug 18, 2010
966
537
Imenishangaza sana leo kwenye uwanja wa Lake Tanganyika, Kikwete kutumia siku ya kuzimisha mwenge wa uhuru kufanya kampeni. Alikuwa anatoa ufafanuzi wa tatizo la maji Kigoma. Yeye amesema kuwa alichomekewa na msherehejaji ili suala la maji alitolee ufafanuzi. Cha ajabu yale aliyokuwa anayatolea ufafanuzi yalikuwa kwenye hotuba yake yameandaliwa. Alisoma data za mahitaji ya maji kwa meter qubic, uchache wa matenki kuhifadhia kwa qubic meters , capacity ya majenereta na uchakavu wa mabomba, N.k. Hivi kikwete hakuwa kigoma juzijuzi kukampeni kwani watu wameshasahau maelezo aliyoyatoa kuhusu maji?

Pia kama kawaida yao wavaa majani ya kijani walikuwepo kuhakikisha kuwa uwepo wa chama unajidhihirisha waziwazi uwanjani hapo

Kwa Kweli watakampeni kwa stahili za namna Mbali lakini mwaka huu cha moto watakiona
 
Imenishangaza sana leo kwenye uwanja wa Lake Tanganyika, Kikwete kutumia siku ya kuzimisha mwenge wa uhuru kufanya kampeni. Alikuwa anatoa ufafanuzi wa tatizo la maji Kigoma. Yeye amesema kuwa alichomekewa na msherehejaji ili suala la maji alitolee ufafanuzi. Cha ajabu yale aliyokuwa anayatolea ufafanuzi yalikuwa kwenye hotuba yake yameandaliwa. Alisoma data za mahitaji ya maji kwa meter qubic, uchache wa matenki kuhifadhia kwa qubic meters , capacity ya majenereta na uchakavu wa mabomba, N.k. Hivi kikwete hakuwa kigoma juzijuzi kukampeni kwani watu wameshasahau maelezo aliyoyatoa kuhusu maji?

Pia kama kawaida yao wavaa majani ya kijani walikuwepo kuhakikisha kuwa uwepo wa chama unajidhihirisha waziwazi uwanjani hapo

Kwa Kweli watakampeni kwa stahili za namna Mbali lakini mwaka huu cha moto watakiona

Akiondoka sehemu moja huku nyuma watu(tena watu wenyewe wa CCM) wanaharibu. Mwaka huu analo.
 
...am sorry alisema nini kuhusu huo mwenge... I mean kilichomfanya aufuate huo mwenge hapo ni nini?
 
...am sorry alisema nini kuhusu huo mwenge... I mean kilichomfanya aufuate huo mwenge hapo ni nini?

Kwa ujumla alizungumzia madhumuni ya kuuwasha Mwenge aliyoyataja mwalimu nyerere. Indirectly alikuwa anamponda Dr. Slaa aliyepania kuuweka mwenye kwenye jumba la makumbusho.
 
Mwaka huu atashangaa. Mambo mazito kwelikweli.
Unajua watu wa busara wakiajiriwa, hufanya kazi kwa bidii ili ukifika wakati wa ku-renew mkataba mwajiri asigune. Ukiboronga anaweza asikuongezee mkataba. Miaka mitano ikiisha anatafutwa mwingine, wewe wa zamani bye bye!!:dance:
 
Back
Top Bottom