Kuzaa mtoto mmoja

Tatizo kubwa la wabongo ni life expectancy iko chini mno, yaani wanakuonea huruma in case of anything!
 
Stephot nikuulize vijiswali:
1. Baada ya kumpata mwanenu ulifanya vasectomy au mkeo alifunga mirija?
2. Ukimwona mtu amebeba kichanga unajisikiaje? do you feel some longing? mkeo je ashakwambia huwa anajisikiaje?
3. Whose idea it was ya kuwa na mtoto mmoja,lilikuwa wazo lako au la mkeo,maana kati yenu mmoja ndo alilianzisha.
naomba majibu kisha tuendelee na kupeana ushauri.
 
wana jf mimi mwenzenu nina mtoto mmoja tu,na huu ulikuwa ni mpango wa mimi na mke wangu kabla hata hatujaoana,mtoto wetu sasa ni mkubwa ana miaka 14,am not regreting for that and we are all quite happy,sasa kinachonishangaza mimi ni kuwa inakuwa kama kero,yaani nikutana na ndugu,marafiki,ninapokuwa kazini na hata watu wangine tu nisio na uhushiani nao wa karibu wamekuwa wakinilaumu mimi hata mke wangu "kwanini mmezaa mtoto mmoja tu si muongeze angalau mwingine",hili neno kwangu sasa naona ni kama kero kwangu,hebu nishaurini jamani hawa watu niwape majibu gani ili niwaridhishe.

w a p o t e z e e
 
sasa kwanini usiongeze mwingine ili kuthibitisha kama kweli huyo mtoto wa nje ya ndoa ni wako? ukiona hivyo wamesha kustukia.
 
Yaonesha maneno ya watu si tu kama yanakukera isipokuwa unadhani yanaukweli fulani katika maisha yako ndo maana ukachukulia uzito mkubwa nakuwauliza watu. Mimi naamini yamekugusa sana. Angalia sababu zilizowafanya muwe na makubaliano ya kuwa na mtoto mmoja kama bado zipo na kama ni hivyo hakuna haja ya kuwa na watoto zaidi ila kama hazipo na unahisi unahitaji watoto zaidi fanya jadilianeni na mkeo Insticts zangu zinanieleza kuwa unahitaji watoto zaidi ya mmoja na mkeo huenda hakubaliani na hilo. Sikiliza rafiki yangu ukitaka kujua thamani ya watoto ulizawaliokuwa kwenye ndoa kwa miaka mingi na bila kuwa na kizazi, wanapesa wamejaribu IVF bila mafanikio. From the bottom of my heart mimi nikiwa kama msomi Mwafrica ninayefahamu maisha ya Kiafrica na ya Kimagharibi nakushauri ongeza mtoto mwingine na siku moja utalielewa hilo. Ingawa maisha ni magumu, kitendo chakuwa na mtoto mwingine kitakufanya uongeze juhudi ya maisha ili uweze kukabiliana na mgeni huyu, Mungu ni mwema sina sisime kuwa kila mtoto anaridhiki yake kwakukaa tu hapana bali kwakuhangaika. Sifahamu kwanini wasomi wengi mmekuwa waoga juu ya suala la uzazi, matokeo yake mnakufa mnaacha mali zikitumika na mijuti ya hovyo tu. Ninaimani ingawa sikujui na sijui kipato chenu ila nahisi mnauwezo wa kutosha kutunza zaidi ya mtoto mmoja na ndo maana wazo hili linasumbua sana kichwa chako. Zaa rafiki yangu mali si mali tu bali hata watoto, wakiwa zaidi ya mmoja watakukongoja chooni pale utakapohitaji msaada.
 
Stephot nikuulize vijiswali:
1. Baada ya kumpata mwanenu ulifanya vasectomy au mkeo alifunga mirija?
2. Ukimwona mtu amebeba kichanga unajisikiaje? do you feel some longing? mkeo je ashakwambia huwa anajisikiaje?
3. Whose idea it was ya kuwa na mtoto mmoja,lilikuwa wazo lako au la mkeo,maana kati yenu mmoja ndo alilianzisha.
naomba majibu kisha tuendelee na kupeana ushauri.

For NO.1 am sorry that's too private,for NO.2 yaani kwa mapenzi tuliyonayo kwa mtoto wetu hakuna anaefikiria kuongeza mwingine kwani ni mambo ambayo huwa tunayaongea na hakuna anayejilaumu pia financially tunaona tunachokipata kinatosha kabisa kumtunza yeye (sasa na baadaye) na kuongeza mwingine ni kama kuharibu trend ambayo tumemuandalia,tuanapoona mtu ana kichanga tunaona tu ni wa-kwake kwani kwetu sisi ni stage ambayo tumeshaipitia na hatuhitaji tena kuirudia.for NO.3 wazo la kuwa na mtoto moja lilikuwa ni la kwangu na sukujali atakuwa wa jinsia gani,kwa mke wangu yeye alikuwa na option ya jinsia,kama angezaliwa wa jinsia hii.... itabidi tuongeze ili tupate wa jinsia anayoitaka ,ila kama takuwa wa jinsia ile aliyoitaka yeye alisema hatahitaji mwingine,luck enough akazaliwa wa jinsia aliyokuwa anaitaka na hapo ndio tukamaliza mchezo.
 
kaka achana nao,yanayokukuta wewe ndioyanayonikuta mimi,ila kumbuka maisha niyenu na si yao.nahata ukizaa mwingine utaambiwa hatoshi,achana nao.mimi nisha dharau hivyo na nenepa tu.
 
Kosa kubwa sana kuzaa mtoto mmoja sababu hatakuwa na mtu wa kumsupport siku za mbele...Hakuna kitu kama damu.

Wacheni kuwainga wahindi na wazungu wale kule njaa zinawasumbua.

kweli umenena la maana hata huyo mtoto baadaye angependa kuona akiwa na dada au kaka msidhani mtakuwa naye milele
 
kaka achana nao,yanayokukuta wewe ndioyanayonikuta mimi,ila kumbuka maisha niyenu na si yao.nahata ukizaa mwingine utaambiwa hatoshi,achana nao.mimi nisha dharau hivyo na nenepa tu.

endelea kujipatia ugonjwa wa moyo halafu mi nahic muda mwingine kupata watoto wengine imeshindikana mnaanza kusingizia mlipanga
 
Sasa the secretary unashauri nini???? mbaya kutokuwa na mtoto mtoto si yupo???,pia mimi humuonea mkewangu huruma anavyopata tabu kipindi hicho,kwani ningeweza kumpokea hakika hata kumi niinge thubutu.
 
Sasa the secretary unashauri nini???? mbaya kutokuwa na mtoto mtoto si yupo???,pia mimi humuonea mkewangu huruma anavyopata tabu kipindi hicho,kwani ningeweza kumpokea hakika hata kumi niinge thubutu.

ya MUNGU mengi ndugu yangu mi na hakika hata huyo mama huwa ana hamu ya kubeba kichanga kingine mkononi mwake mi nakwambia kama mwanamke nina mtoto mmoja mdogo lakini pindi nionapo mtu kabeba mtoto huwa natamani hata kushika mimba muda huo. iliandikwa tutazaa kwa uchungu hatuwezi kukwepa ili neno litimie kama mmeamua usije zaa nje pindi mwenzio umri utakapokuwa hauruhusu
 
Back
Top Bottom