kamikaze
JF-Expert Member
- Jan 25, 2011
- 422
- 610
Salaaam wana jf, kuna kitu nimekuwa nikijiuliza hivi kuzaa/kuzaliwa mtu handsome kwa wanaume na beutiful kwa wanawake je nini sababu?
1. Je inategemea na wazazi kuwa beutiful na handsome?
2.Ni uumbaji wa Mungu?
3. Ni lishe unayopatiwa mtu toka mdogo?
1. Je inategemea na wazazi kuwa beutiful na handsome?
2.Ni uumbaji wa Mungu?
3. Ni lishe unayopatiwa mtu toka mdogo?