The only
JF-Expert Member
- May 19, 2011
- 10,433
- 13,414
Mimi nina hulka hiyo na huwa sijitambui ni marafiki na jamaa ndo huwa wanani daught,mfano nikikaa na marafiki tunakunywa bia mimi mpaka wote waende mara 4 mi mara moja , lakini utotoni nilikuwa kikojozi hadi 7 years,pia hata in sex kukojoa huwa inachukua 30 min , yaan hata nikikaa na mtu asienijua huwa nagundua ataponiuliza kwa nn nakaa mda bila ulination,msaada madaktari