Kijana leo
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 2,861
- 808
Haya mambo ya kila mtu kuandika kitu chake bila source, hasa aya ya kuhama kwa wanachama tuwe makini, mara 2000 wamehama chama hiki, 1560 wamehama chama kile, tunafurahi kupata habari humu ss tuwe tunathibitisha.