Fernandes Rodri
JF-Expert Member
- Apr 11, 2009
- 519
- 240
Nakubaliana na mtoa mada, maana mimi kuna mpumbavu mmoja mpaka jana alinipigia kuniambia kuwa yeye anatoka TRA na kwamba anataka kuja kuniona au mimi nimtafuta kwa wakati wangu, kila nikimuuliza uko TRA jengo gani yeey kunijibu hataki, kiduka chenyewe hata miliona kumi hakifiki anataka kunitisha, mimi nishamwambia SIDANGANYIKI:dance::dance::dance::dance: