KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,711
- 12,067
Hasa za baadhi ya akina dada, wanazitumia kama vibrator.
Ushauri: nawa mikono baada ya kushika cmu na kabla ya kula.
Ushauri: nawa mikono baada ya kushika cmu na kabla ya kula.
Mh! kumbe simu zina matumizi mengi!
Hizo charger hapo maofisini,hazikuja bure, zioneni hivyo hivyo tu.
Mkuu, mbona napata kizungumkuti ili nimekalia kiti? Hebu fafanua angalau kidogo.
Maana ofisi ile chaja ziko peupe tena karibu muda wote zimechomekwa hata kama hakuna mtu anayechaji.
na hyo vibration means ... mh mimi nachoka kabisa.
Kua uyaone.......................Jamani mbona mimi sielewi? Inakuaje sasa hiyo vibration si mpaka mtu akupigie ndio ita vibrate na ukipokea vibrator inaishia hapo. Kaka Jambazi hebu tuelezee utafiti wako kwa kina.:clock:
Hasa za baadhi ya akina dada, wanazitumia kama vibrator.
Ushauri: nawa mikono baada ya kushika cmu na kabla ya kula.