Kuweni makini na nafasi zinazotangazwa na ZOOM, kuna utapeli

Hello JF, Sijui ni kwangu peke yangu au ni kwa wengi.

Katika kazi nyingi nilizo APPLY online kwa mtandao wa ZOOM, BAADA ya siku chache tu unapata meseji kutoka kwa mtu mmoja, tena kwa kujirudia katika kazi tofauti tofauti, akisema yeye ni mmoja wa wanao shortlist applicants kwa kutumia CV zilizotumwa na kwamba yuko tayari kukusaidia kupata kazi hiyo kwa masharti, utampa kiasi kadhaa katika mshahara wako wa kwanza (anakutajia kiasi chake), ila umtumie kiasi fulani kwanza kwa no yake ifikapo jioni siku hiyo ili aweze kukupa maswali ya enterview.

Imenitokea hivyo kwa kazi 3 tofauti, moja ni shule, nyingine ni NGO na nyingine ni Kampuni; ila anayenitumia msg ni mmoja tu huyohuyo. no 0719 734458. Sijui ni nani? nilipo mwuliza yeye ni nani katika hayo mashirika yote matatu,,,, duh aliniporomoshea matusi mengi sana, nikaachana nae.

Haya kazi kwenu, usiamini kirahisi kazo za Zoom, bora kuwacheki wenye kazi kwa mtandao ili uone uhalisi wa kazi husika, badala ya kutuma Cv online.

Na huu utapeli umejenga kiburi sana kwa vijana kwani hawataki kabisa kujiweka sawa kwa interview wanategemea dili. Vijana wengi cv mbovu na hawataki kujifunza wanawategemea matapeli.
 
Naye zilimuwasha tu hzo kilo 2, yani ana uwezo wa kufight laki mbili kumpa tapeli anashindwa kukoroga kichwa kubuni business?

Watu hawafanani mkuu, wengi wa wapita shule wanahofia sana changamoto ya ajira na wakiona watangulizi wao wanaomaliza miaka kadhaa bila ajira wanachanganyikiwa.

Katika hali hii ni rahisi sana kuingia kwenye mtego wa kutapeliwa, hasa kama hujawahi kukutana na matapeli wa aina hii.
 
Mimi kanipigia jana nikiwa kwenye daladala akaniambia unaweza kukaa pambeni tuzungumze? Nikamwambia ngoja nishuke, kushuka tu nikapiga kwa namba ya airtel wakati mwanzo alinipigia kwa namba yangu ya tigo cha kushangaza anajifanya anataja jina langu, akaniuliza umeapply kazi UNHCR Arusha? Nikamwambia ndio, basi akasema HR wa hapo kampa namba yangu. Kilichofuata hapo ankijua mwenyewe sijawahi kumtukana mtu nisiyemjua kama nilivyomtukana huyu jamaa. Namba zake ni 0715963819 nimemcheki tigopesa anaitwa Johnson Emanuel. Jamani tuwe makini sana na hawa matapeli, tuwaripoti mapema.
 
Habari wanajamii,

Kuna malalamiko tumepata kuhusu kazi za ZoomTanzania kuwa nyingi ni za utapeli. Kazi nyingi sana za ZoomTanzania ni za ukweli na sources zake zinaeleweka. Mfano kuna kazi nyingi sana kutoka kwa Recruitment Agencies mbalimbali pamoja na makampuni mbalimbali pamoja na magazeti ambazo sources zinakuwa open.
ZoomTanzania kama mitandao mingine duniani inayohusika na kutangaza kazi huwa ni target ya Scammers. Tunafanya kadri tuwezavyo kuzuia huo utapeli. Scammers wanajua kuwa watu wako desperate kutafuta kazi na hivyo hutumia kila njia ya udanganyifu kupata pesa kutoka kwa watafutaji kazi.
Unapojiunga na mtandao wa ZoomTanzania kuna code of conduct inayokuweka wazi kuwa USILIPIE kufanya interview ama malipo yoyote yanayohusiana na kufanya interview au kupata kazi. Hii sio kwa mtandao wa ZoomTanzania tu popote pale hutakiwi kufanya hivyo.
Kuna ushahidi wa watu mbalimbali naamini na hata hapa Jamii Forums watakuwepo wengi tu ambao wamewahi itwa kwenye interviews katika mashirika na makampuni ambayo waliapply kwa kupitia ZoomTanzania. Tunapata ushahidi huo pia kutoka kwa watu mbalimbali. Ningeomba tu pale unapopata mashaka na kazi fulani katika ZoomTanzania na umekosa kabisa mawasiliano na kampuni husika au kuna mtu amekupigia simu ulipe kwa ajili ya interview. Mtupe taarifa na tutalifanyia kazi mara moja. Unaweza tuma email kwa info@zoomtanzania.com au jobs@zoomtanzania.com au piga simu +255 786 264 687.

Tunaomba tushirikiane katika kukomesha utapeli huu.

Asante na Keep ZoomIng.
 
Habari Ipilimo,

Tungeomba uelezee zaidi kuhusu hizo kazi 3 za Utapeli za ZoomTanzania au utupe links au majina ya kampuni zilizotangaza hizo kazi.

Katika hii thread tumejibu kuhusu post yako na tungeomba feedback katika hili.

Asante, ZoomTanzania.
 
Habari wanajamii,

Kuna malalamiko tumepata kuhusu kazi za ZoomTanzania kuwa nyingi ni za utapeli. Kazi nyingi sana za ZoomTanzania ni za ukweli na sources zake zinaeleweka. Mfano kuna kazi nyingi sana kutoka kwa Recruitment Agencies mbalimbali pamoja na makampuni mbalimbali pamoja na magazeti ambazo sources zinakuwa open.
ZoomTanzania kama mitandao mingine duniani inayohusika na kutangaza kazi huwa ni target ya Scammers. Tunafanya kadri tuwezavyo kuzuia huo utapeli. Scammers wanajua kuwa watu wako desperate kutafuta kazi na hivyo hutumia kila njia ya udanganyifu kupata pesa kutoka kwa watafutaji kazi.
Unapojiunga na mtandao wa ZoomTanzania kuna code of conduct inayokuweka wazi kuwa USILIPIE kufanya interview ama malipo yoyote yanayohusiana na kufanya interview au kupata kazi. Hii sio kwa mtandao wa ZoomTanzania tu popote pale hutakiwi kufanya hivyo.
Kuna ushahidi wa watu mbalimbali naamini na hata hapa Jamii Forums watakuwepo wengi tu ambao wamewahi itwa kwenye interviews katika mashirika na makampuni ambayo waliapply kwa kupitia ZoomTanzania. Tunapata ushahidi huo pia kutoka kwa watu mbalimbali. Ningeomba tu pale unapopata mashaka na kazi fulani katika ZoomTanzania na umekosa kabisa mawasiliano na kampuni husika au kuna mtu amekupigia simu ulipe kwa ajili ya interview. Mtupe taarifa na tutalifanyia kazi mara moja. Unaweza tuma email kwa info@zoomtanzania.com au jobs@zoomtanzania.com au piga simu +255 786 264 687.

Tunaomba tushirikiane katika kukomesha utapeli huu.

Asante na Keep ZoomIng.

Mneanza na hizo namba zilizotajwa mngefanya la mbolea sana.
 
Kumezuka utapeli wa kazi zoomtanzania.com, matapeli wanatanga kazi kwenye kampuni hewa, ukiapply baada ya siku kadhaa wanakutumia sms kwamc unanafasi kubwa ya kupata, yeye huko kwenye panel ya kuchagua watu kwahiyo atakusaidia kupata lkn mgawane mshahara wako utakapo pokea ila umtumia kiasi kadhaa cha pesa kwanya afanye mchakato,walishawahi kunitumia mara mbili hawakunipata, recently niliomba kampuni inaitwa intelect ltd wametoa nafasi za IT nimenitumia same sms na jamaa anaitwa vicent namba yake 0653013175. TUWE MAKINI GUYS!!
 
Kumezuka utapeli wa kazi zoomtanzania.com, matapeli wanatanga kazi kwenye kampuni hewa, ukiapply baada ya siku kadhaa wanakutumia sms kwamc unanafasi kubwa ya kupata, yeye huko kwenye panel ya kuchagua watu kwahiyo atakusaidia kupata lkn mgawane mshahara wako utakapo pokea ila umtumia kiasi kadhaa cha pesa kwanya afanye mchakato,walishawahi kunitumia mara mbili hawakunipata, recently niliomba kampuni inaitwa intelect ltd wametoa nafasi za IT nimenitumia same sms na jamaa anaitwa vicent namba yake 0653013175. TUWE MAKINI GUYS!!
Uyo jamaa ni mpumbavu sanaa tena anajiitaga Mr VICENT mi ashanitumia text zake two times,anajua nilichomfanya
 
Kumezuka utapeli wa kazi zoomtanzania.com, matapeli wanatanga kazi kwenye kampuni hewa, ukiapply baada ya siku kadhaa wanakutumia sms kwamc unanafasi kubwa ya kupata, yeye huko kwenye panel ya kuchagua watu kwahiyo atakusaidia kupata lkn mgawane mshahara wako utakapo pokea ila umtumia kiasi kadhaa cha pesa kwanya afanye mchakato,walishawahi kunitumia mara mbili hawakunipata, recently niliomba kampuni inaitwa intelect ltd wametoa nafasi za IT nimenitumia same sms na jamaa anaitwa vicent namba yake 0653013175. TUWE MAKINI GUYS!!


Kiongozi ukiona kazi inatakiwa kuapply online then hakuna website ya hiyo kampuni husika inayo ajiri au email ya hr department then zoom wanataka ufanye application kwa web yao kuwa makini sana tena hata sitakabisa kuapply coz wacha swala la utapeli tu wanaweza hata kutumia informations zetu vibaya kwa mambo mengine!

Kwa angalizo tu kama ipo website ya hiyo kampuni apply direct kwao au kama kuna email ya hr tumia hiyo ila siyo zoom matapeli ni wengi sana
 
Kumezuka utapeli wa kazi zoomtanzania.com, matapeli wanatanga kazi kwenye kampuni hewa, ukiapply baada ya siku kadhaa wanakutumia sms kwamc unanafasi kubwa ya kupata, yeye huko kwenye panel ya kuchagua watu kwahiyo atakusaidia kupata lkn mgawane mshahara wako utakapo pokea ila umtumia kiasi kadhaa cha pesa kwanya afanye mchakato,walishawahi kunitumia mara mbili hawakunipata, recently niliomba kampuni inaitwa intelect ltd wametoa nafasi za IT nimenitumia same sms na jamaa anaitwa vicent namba yake 0653013175. TUWE MAKINI GUYS!!

Hyo kampuni ipo kweli
 
Mm nimetoka kutuma ss hiv hapa through zoom. Bt thnx kwa taarifa sirudii tena
 
nami nlichomfanya hatonisahau kashanishortlist mara ya4 hii mara mr rajab mara vincent wamenifanya nipaogope zoomtanzania :mad2:
 
Yan wakuu ukiona mtu analeta brabra mara nipe ela nitakushortilist achana nae kimbia mbali, alafu wakuu mbna izi habari za matapeli zoom tu. kwa nini isiwe tayoa, ajirazetu na kwingineko embu tujiulize wadau why zoom tu?
 
Tatizo nililoliona kwa zoom ambalo wanawezakulifanyia kazi ni kwamba unawezapost chochote bila wao kupitia kwa mfano mtu anawezaweka advert la kazi halijakidhi vigezo vile vya kawaida halina qualification needed,adress au website ya advertiser au simu, sasa zoom either wawe wanapitia kwanza na kujitidhisha au kama hawana staff basi wa set system ya zoom isipost any advert bila kuwa na hivyo viti hapo juu ukituma bila hivyo vigezo advert liwe linakataa, hope zoom watafanyia kazi
 
mimi niliwahi kuona tangazo la kazi ccbrt ililitangazwa na zoom ila nlipoenda kupeleka application kwenye office z ccbrt hr alinishangaa n kuniuliza tangazo nimeliona wapi so zoom huwa wanatangaza kazi hewa pia wanatapia yakutuma sms za ajabuajabu
 
Kumezuka utapeli wa kazi zoomtanzania.com, matapeli wanatanga kazi kwenye kampuni hewa, ukiapply baada ya siku kadhaa wanakutumia sms kwamc unanafasi kubwa ya kupata, yeye huko kwenye panel ya kuchagua watu kwahiyo atakusaidia kupata lkn mgawane mshahara wako utakapo pokea ila umtumia kiasi kadhaa cha pesa kwanya afanye mchakato,walishawahi kunitumia mara mbili hawakunipata, recently niliomba kampuni inaitwa intelect ltd wametoa nafasi za IT nimenitumia same sms na jamaa anaitwa vicent namba yake 0653013175. TUWE MAKINI GUYS!!

huyo anayejiita Mr. Vicent hata Mimi kashanitumia sms akaniambia yupo kwenye panel nimtumie elfu 45 eti anipe majibu ya interview alafu nikianza kazi nimpe laki tatu kutoka kwenye mshahara wangu hata cjamjibu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom