OMJ
JF-Expert Member
- Apr 24, 2013
- 210
- 28
Ahsante ndugu. Nawashauri ukiona mtu amekutext ishu za hela hata kama anajitambulisha kuwa anatoka kampuni kubwa futa futa kabisa. Ukiendelea naye atakutapeli. Ni wazi kuwa kuna ambao wameshatapeliwa, ila cha msingi anza ukurasa mpya wa kutotapeliwa tena" Jiamini kuwa utapata kazi au opportunity". Ndugu mtumiaji na ambao sio watumiaji wa jfasta.com, nawaalika wote kufatilia matangazo yetu ya kazi kila siku kupitia Jfasta.com | Ultimate fast information portal in East Africa| Get updated Job Opportunity & More. Kama unatatizo lolote kuhusiana na kuangalia na kutuma maombi katika kazi zinazorushwa kwenye mtandao wetu tupigie simu:+255 714 992 972 au tutumie ujumbe: info@jfasta.com
Pia kama una maoni juu ya maboresho tutumie ujumbe wako:
Pia kama una maoni juu ya maboresho tutumie ujumbe wako: