Kuweni makini na atm kwani.......................................

white wizard

JF-Expert Member
May 18, 2011
8,277
13,212
Jamani leo kidogo yanikute,Nimekwenda kutoa pesa kwenye ATM,ya bank ya NMB maeneo ya chuo cha uhasibu[TIA] karibu na kambi ya jwtz,nilitaka kutoa 250,000,nikafanya kama inavyotakiwa,nikasubili ili zitoke na nikasikia jinsi zinavyojichanga[jihesabu]Cha ajabu hela sikuziona inatoka risiti na inaonyesha sms,kuwa huduma 'IMEKAMILIKA'Kwa kweli sikutoka pale nikaa nazisubili,nikasababisha foleni kubwa,ndipo akaja mjeshi mmoja anataka kutumia nguvu nitoke!nikamwambia bwana mimi hizi mashine nazijua bado tunabishana ndio zile pesa zinatoka!ikabidi aone aibu,nikawa nimekula point 3 zangu.Hivyo natoa wito mala nyingi unapokwenda kutumia ATM, kama pesa haikutoka angalia ile sms ya kwenye risiti,kama IMEANDIKWA HUDUMA HAIJAKAMILIKA usiwe na wasiwasi,ila KAMA IMEANDIKWA HUDUMA IMEKAMILIKA kuwa makini unaweza ukaondoka mtu anayeingia badaa yako akazipata hizo pesa na BANK hawatakubali,kwani zitaonekana zimetoka;ila kama utapata sms huduma haijakamilika we rudia tena ikigoma nenda zako,hakuna tatizo we tunza tu hii risiti yako waendee utapata haki yako.:welcome:
 
Jamani leo kidogo yanikute,Nimekwenda kutoa pesa kwenye ATM,ya bank ya NMB maeneo ya chuo cha uhasibu[TIA] karibu na kambi ya jwtz,nilitaka kutoa 250,000,nikafanya kama inavyotakiwa,nikasubili ili zitoke na nikasikia jinsi zinavyojichanga[jihesabu]Cha ajabu hela sikuziona inatoka risiti na inaonyesha sms,kuwa huduma 'IMEKAMILIKA'Kwa kweli sikutoka pale nikaa nazisubili,nikasababisha foleni kubwa,ndipo akaja mjeshi mmoja anataka kutumia nguvu nitoke!nikamwambia bwana mimi hizi mashine nazijua bado tunabishana ndio zile pesa zinatoka!ikabidi aone aibu,nikawa nimekula point 3 zangu.Hivyo natoa wito mala nyingi unapokwenda kutumia ATM, kama pesa haikutoka angalia ile sms ya kwenye risiti,kama IMEANDIKWA HUDUMA HAIJAKAMILIKA usiwe na wasiwasi,ila KAMA IMEANDIKWA HUDUMA IMEKAMILIKA kuwa makini unaweza ukaondoka mtu anayeingia badaa yako akazipata hizo pesa na BANK hawatakubali,kwani zitaonekana zimetoka;ila kama utapata sms huduma haijakamilika we rudia tena ikigoma nenda zako,hakuna tatizo we tunza tu hii risiti yako waendee utapata haki yako.:welcome:

Soma yaliyomkuta mchungaji

https://www.jamiiforums.com/busines...microfinance-bank-nmb-atms-2.html#post2081074
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom