ZeMarcopolo
Platinum Member
- May 11, 2008
- 14,017
- 7,220
Shukrani za dhati kwa TPN -hasahasa Mwenyekiti wake mzalendo Mtsimbe- kwa kujitahidi kubuni njia mbalimbali za kuwezeshana katika uwekezaji. Leo naomba niirudishe tena TPN hapa JF huku nikiwa na swali.
Je TPN specifically ina program gani za kuwawezesha watanzania (especially waishio nje- diaspora) kuwekeza Tanzania? Nitatoa mfano.
Lets say kuna Mtanzania yuko Michigan ana USD 35,000 na anataka kuja kuanzisha mradi wa duka Tanzania. Atahitaji taarifa za kodi, utaratibu wa kutoa mizigo bandarini au airport, sehemu ambazo zingefaa zaidi kwa aina hiyo ya biashara, jinsi ya kupata mahali pa kufungua hilo duka, products zinazopendwa zaidi etc... Je mtu wa aina hii akiwasiliana na TPN ategemee ushirikiano wa kiwango gani?
Natangaliza shukrani kwa niaba ya wajasiriamali in the making...
Je TPN specifically ina program gani za kuwawezesha watanzania (especially waishio nje- diaspora) kuwekeza Tanzania? Nitatoa mfano.
Lets say kuna Mtanzania yuko Michigan ana USD 35,000 na anataka kuja kuanzisha mradi wa duka Tanzania. Atahitaji taarifa za kodi, utaratibu wa kutoa mizigo bandarini au airport, sehemu ambazo zingefaa zaidi kwa aina hiyo ya biashara, jinsi ya kupata mahali pa kufungua hilo duka, products zinazopendwa zaidi etc... Je mtu wa aina hii akiwasiliana na TPN ategemee ushirikiano wa kiwango gani?
Natangaliza shukrani kwa niaba ya wajasiriamali in the making...