Kuweka window/os zaidi ya moja kwenye computer kuna madhara?

mfukunyunzi

Senior Member
Mar 4, 2011
142
26
Wataalamu wa haya mambo naombeni msaada wenu tafadhali. Nilikuwa nataka kufahamu kama kuna madhara yoyote kwa computer endapo utaiwekea operating system au window zaidi ya moja. Kwa mfano uweke window xp na vista, linux na vista, au uweke zote tatu kwenye comp moja kama vile vista, ubuntu, na linux. Je ni salama kwa computer kwa upande wa hardware na software?
 
Wataalamu wa haya mambo naombeni msaada wenu tafadhali. Nilikuwa nataka kufahamu kama kuna madhara yoyote kwa computer endapo utaiwekea operating system au window zaidi ya moja. Kwa mfano uweke window xp na vista, linux na vista, au uweke zote tatu kwenye comp moja kama vile vista, ubuntu, na linux. Je ni salama kwa computer kwa upande wa hardware na software?

kwa upande wangu sioni madhara yoyote so far kwa sababu computer yangu inazo mbili yaani window xp na linux na inafanya kazi vizuri tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom