Kuweka Huawei na Tecno kwenye kundi moja kiubora ni sahihi?

mchushi

JF-Expert Member
Dec 23, 2012
216
98
Habarini wakuu nimekuwa nikishuhudia mara kadha watumiaji wa Tecno wanaposhambuliwa na watumiaji wa simu nyingine ambazo wao hudhani ni za ubora wa juu wamekuwa wakijitetea na comeback yao imekuwa ikiwataja pia huawei..... mfano utamsukia mtumuaji wa Tecno akijitetea "kwani siye watumiaji wa tecno na huawei siyo watu" anyways siwapangi watu kwenye classes kutokana na ubora au majina makubwa wanayotumia....lakini swali langu ni Je ni sahihi kuziweka huawei na Tecno katika kundi moja la ubora??? NB:Situmii simu yeyote kati ya hizo mbili, natumia PC.
 
si sahihi kabisa kuweka tecno phone na simu kama huawei, tecno ni simu za hali ya chini mno mkuu, utashangaa mfano mtu akisema samsung kampuni inayoshindana na tecno..., tecno tupa kuleee
Unaizungumzia hii Samsung Note 7 inayolipuka kila uchao?

Unaizungumzia pia hii Samsung ambayo wamesitisha utengenezaji wake?

Au unaizungumzia hii Samsung ambayo soko lake la hisa limeshuka kwa 0.3% kwa sababu ya kutengeneza bidhaa mbovu na ya hatari like Bombs?

Swali:
Au wewe ulikuwa unaizungumzia Samsung ipi?
 
Unajua watu wamekariri na wanajibu/watajibu kimihemko.

Hata BlackBerry ilifanya vizuri(ilikuwa juu) kwenye soko upande wa cellphone kuliko Samsung.
Lakini Je leo BlackBerry iko vipi kisoko?

NB: kila zama na kipindi chake, kosa moja ndo advantage kwa mwenzako
Mbaya zaidi Sumsang wenyewe wamekiri kutokea kwa matukio hayo na kuwaomba wateja warudishe wapewe hela yao. Hili litashusha sana mauzo yao, hata wakitoa toleo jingine jipya watu hawatalichangamkia kwa kuhofia kujirudia yaliyotokea
 
Unaizungumzia hii Samsung Note 7 inayolipuka kila uchao?

Unaizungumzia pia hii Samsung ambayo wamesitisha utengenezaji wake?

Au unaizungumzia hii Samsung ambayo soko lake la hisa limeshuka kwa 0.3% kwa sababu ya kutengeneza bidhaa mbovu na ya hatari like Bombs?

Swali:
Au wewe ulikuwa unaizungumzia Samsung ipi?
Ng'ombe hata akonde vp hawezi kuwa sawa na paka aliyenenepa, nina maana still samsung is the best.
 
Habarini wakuu nimekuwa nikishuhudia mara kadha watumiaji wa Tecno wanaposhambuliwa na watumiaji wa simu nyingine ambazo wao hudhani ni za ubora wa juu wamekuwa wakijitetea na comeback yao imekuwa ikiwataja pia huawei..... mfano utamsukia mtumuaji wa Tecno akijitetea "kwani siye watumiaji wa tecno na huawei siyo watu" anyways siwapangi watu kwenye classes kutokana na ubora au majina makubwa wanayotumia....lakini swali langu ni Je ni sahihi kuziweka huawei na Tecno katika kundi moja la ubora??? NB:Situmii simu yeyote kati ya hizo mbili, natumia PC.
Top Ten Best Smartphone Brands - TheTopTens® tembea na link uone makampuni 10 bora ya smartphones dunian
la kwanza samsung then apple ... techno hata kwenye best 10 haipo
 
Mbaya zaidi Sumsang wenyewe wamekiri kutokea kwa matukio hayo na kuwaomba wateja warudishe wapewe hela yao. Hili litashusha sana mauzo yao, hata wakitoa toleo jingine jipya watu hawatalichangamkia kwa kuhofia kujirudia yaliyotokea
South Korea pale kachemka
 
Tecno kweny battery ni zaid ya smart phone zote zilizopo sokoni Kw sasa. Hapo kweny chaj wamepaweza sana.
Well done tecno
tulishasema simu si betri tu kaka, kama wamejitahidi ktk betri kwa nini wasiweke ubora ktk vitu vingine pia? huoni kama wanachemka bado?
 
si sahihi kabisa kuweka tecno phone na simu kama huawei, tecno ni simu za hali ya chini mno mkuu, utashangaa mfano mtu akisema samsung kampuni inayoshindana na tecno..., tecno tupa kuleee
Tecno ndio simu inayokuja kwa kasi na hawajawahi kua na kashfa yeyote ya wizi au ya simu kulipuka of all that sifa yao kuu ni simu zao kukaa na charge. Juzi wamezindua phantom six simu iliyotumia miaka mi3 kukamilika na mainjinia laki5 kuikamilisha ina camera ya nyuma mega pixel 20(kama mpiga picha yeyote duniani anajua maana ya mega pixel 20) processor 4gb uwezo wa 4GLTE kikubwa zaidi google ndo utaelewa tecno maana yake ni technology.

dd86a54293f90ed3e2b5ea341a650a87.jpg
 
Tecno itabaki kudharauliwa tu .. Huawei ni simu bana huwezi fananisha na tecno.... kama unatumia tecno ni ww ila usitulazimishe kwamba ni kitu cha maana
 
Back
Top Bottom