Ubungoubungo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2008
- 2,502
- 739
Ubunge mwisho miaka 10, as it's for the president!
Ninapendekeza Mtanzania yeyote anayetaka kugombea ubunge, afanye hivyo, akishinda mara moja abakiwe na mara yake moja kama ilivyo kwa Rais kuwa na awamu mbili tu.
NAFIKIRI HII ITASAIDIA sana watanzania kuangalia nini mtu amefanya kwa miaka hiyo kumi na kama ameboronga basi akamatwe.
Nasema hivi, kwasababu nachukia sana kuona mbunge tangu nimezaliwa miaka ya sabini hadi leo nina miaka 30 yeye bado tu ni mbunge, akiboronga bado tu anachaguliwa, wananikera.
Mnasemaje wajameni?
Ninapendekeza Mtanzania yeyote anayetaka kugombea ubunge, afanye hivyo, akishinda mara moja abakiwe na mara yake moja kama ilivyo kwa Rais kuwa na awamu mbili tu.
NAFIKIRI HII ITASAIDIA sana watanzania kuangalia nini mtu amefanya kwa miaka hiyo kumi na kama ameboronga basi akamatwe.
Nasema hivi, kwasababu nachukia sana kuona mbunge tangu nimezaliwa miaka ya sabini hadi leo nina miaka 30 yeye bado tu ni mbunge, akiboronga bado tu anachaguliwa, wananikera.
Mnasemaje wajameni?