Tatizo la Muwasho Sehemu za Siri: Chanzo, Matibabu na Namna ya Kujikinga

Nilishaanza kupoteza imani na baadhi ya thinkers baada ya kuona majibu mabovu kutokwa kwa baadhi yao. Asanteni sana mliochangia nitaenda hospitali.
Mkuu wala usihofu sana hiyo ni mojawapo ya hali ya kawaida kwa mwanamume rijali kama wewe! Cha msingi avoid full-kujiachia kwani hayo ndo matokeo ya kanga ndembe-ndembe!
TAKE NOTE!!!!!
 
Am sure its not UTI as that i know how it feels niliwahi kupata kipindi fulani kupitia kwa chooo cha kukalia kama ulivyosema. ila nitacheki natawapatia majibu worryless great thinkers
Kapime kwanza ili uwe na uhakika zaidi..
 
Hakuna umuhimu wa kuvaa kondom kama sijawahi kushiriki tendo hilo. ndio sababu nashangaa kama ni ugonjwa nimepata wapi?
Jalibio la kwanza asubui kabula ya kukojowa kamuwa uwume angalia kamakutatoka majimaji ikichanganyikana na usaha kamaunauhakika hujakutana na mwanamke ya wezekena sehemu zakukojowa mchanganyiko si nzuli unaweza ambukizwa kwanjia hiyo.
 
Livanga my darling you better take your uume to the hosp haraka kabla havijakuzidia. That's the best you can ever do.
 
Am sure its not UTI as that i know how it feels niliwahi kupata kipindi fulani kupitia kwa chooo cha kukalia kama ulivyosema. ila nitacheki natawapatia majibu worryless great thinkers
Mkuu,

hapo una tatizo

ila linaweza kuwa la kawaida tu kwa mfano uchafu au ulibana sana mkono au hata namna unavyoshika duduz wakati wa kukojoa, inatokea kama unakua umeenda kukojoa baada ya kubana sana mkojo au ukiwa umedinda

secondly, yawezekana kabisa una STI (mild)

dont rule out UTI

nenda muone dr
 
[h=1]SOMA HII HABARI YAWEZA KUKUSAIDIA: ZINGATIA HITIMISHO HAPO CHINI

Urethritis, Non-Specific Urethritis and Urethral Irritation
Essential facts[/h]What is it?
Symptoms
Diagnosis
Treatment
Non-Specific Urethritis
Recurrent or Persistent Urethritis
Urethral Irritation

Urethritis is inflammation of the urethra (the passage in the penis that urine and semen pass through). It has several causes, the most common are chlamydia or gonorrhoea, but other bacteria may be involved. Often the cause is not identified.
[h=2]Symptoms[/h]There are no symptoms at all. When symptoms are present, they may include:
  • discharge (milky or pus-like) from the penis
  • stinging or burning during urination
  • itching, tingling, burning or irritation inside the penis.
[h=2]Diagnosis[/h]If someone has any of the symptoms described above, special tests are required to find out if the person has urethritis. The doctor gently inserts a swab into the urethra. The swab is then examined in the laboratory for signs of infection. Swabs should be taken 3 or 4 hours after the person last passed urine.
At the STD clinic, if an infection is present, it can sometimes be detected on the same day. However, it usually takes several days for chlamydia and gonorrhoea results to become available.
[h=2]Treatment of urethritis[/h]Urethritis is usually treated with doxycycline (Doryx, Vibramycin, Doxylin) or azithromycin (Zithromax).
[h=3]Doxycycline[/h]
[h=3]Directions for taking doxycycline[/h]
  • Doxycycline capsules must be taken after a meal
  • Take a single dose of two capsules daily for 10 days
  • Drink a full glass of water after taking the capsules, and do not lie down for at least half an hour.
Side effects

The main side effects of doxycycline are irritation of the stomach and increased sensitivity of the skin to sunlight. Stomach irritation is less likely if you avoid alcohol.

Do not have sex until all results of your tests are back and you have finished taking all the tablets.

Azithromycin
Directions for taking azithromycin
  • Take 1 gram as a single dose
  • this may be 2 or 4 tablets (depending on their strength).
Side effects

Azithromycin may cause abdominal pain and nausea. If this happens, eating sometimes helps. The symptoms usually settle within a few hours.

Do not have sex until all results of your tests are back and at least one week has passed.

Symptoms of discharge, stinging or irritation will settle down much more quickly if you rest the urethra by not having sex (vaginal, oral or anal) and not masturbating. Squeezing or milking the penis to look for a discharge will irritate the urethra and the symptoms will take longer to disappear.
  • Return to the clinic to obtain the final results of all your tests.
  • Never share your treatment with anyone else.
  • Partners do not automatically require treatment. They should be examined by a doctor first.
[h=2]Non specific urethritis (NSU)[/h]Urethritis not caused by either gonorrhoea or chlamydia is called non specific urethritis, or NSU. The cause of NSU is not known, however antibiotic treatment is effective.
Although NSU does not cause symptoms in women, female partners of men with NSU may need to be examined.
[h=2]Recurrent or persistent urethritis[/h]Sometimes the symptoms of urethritis are slow to settle, or they may return after a week or two. If you have taken antibiotics and there has been no further sex, it is unlikely that any infection is still present. The symptoms are likely to resolve in a week or two and you should not need further treatment. If you have had further sex or did not take all of the medication as directed, you may need further tests and should consult a doctor.
[h=2]Urethral Irritation[/h]Occasionally, a man may experience a discharge, or burning on urination but there is laboratory tests show no evidence of infection. This condition is called urethral irritation, and it means that the urethra has been affected by something other than an infection.
Possible causes of this condition include:
  • repeated squeezing or milking of the urethra
  • very frequent or vigorous masturbation or sexual activity
  • concentrated urine caused by dehydration
  • caffeine and/or alcohol, some medications
  • general illness
  • allergies.
Urethral irritation is not a sexually transmitted condition and it always settles without antibiotic treatment. It will settle faster if you avoid - sex, masturbation, squeezing the penis, alcohol and caffeine consumption.
 
Nenda hospital, muone daktari wa magonjwa ya wanaume akufafanulie zaidi nini tatizo coz kama unasema sio STD au UTI, basi may b fungus, hivo v2 vya kawaida' but it's better to go 2 the hospital' POLE SANA.
 
Hakuna umuhimu wa kuvaa kondom kama sijawahi kushiriki tendo hilo. ndio sababu nashangaa kama ni ugonjwa nimepata wapi?
Hata mimi namshangaa anafikiri wote wanaougua chini ni sababu ya ngono.
 
[h=1]SOMA HII HABARI YAWEZA KUKUSAIDIA: ZINGATIA HITIMISHO HAPO CHINI

Urethritis, Non-Specific Urethritis and Urethral Irritation
Essential facts[/h]What is it?
Symptoms
Diagnosis
Treatment
Non-Specific Urethritis
Recurrent or Persistent Urethritis
Urethral Irritation

Urethritis is inflammation of the urethra (the passage in the penis that urine and semen pass through). It has several causes, the most common are chlamydia or gonorrhoea, but other bacteria may be involved. Often the cause is not identified.
[h=2]Symptoms[/h]There are no symptoms at all. When symptoms are present, they may include:
  • discharge (milky or pus-like) from the penis
  • stinging or burning during urination
  • itching, tingling, burning or irritation inside the penis.
[h=2]Diagnosis[/h]If someone has any of the symptoms described above, special tests are required to find out if the person has urethritis. The doctor gently inserts a swab into the urethra. The swab is then examined in the laboratory for signs of infection. Swabs should be taken 3 or 4 hours after the person last passed urine.
At the STD clinic, if an infection is present, it can sometimes be detected on the same day. However, it usually takes several days for chlamydia and gonorrhoea results to become available.
[h=2]Treatment of urethritis[/h]Urethritis is usually treated with doxycycline (Doryx, Vibramycin, Doxylin) or azithromycin (Zithromax).
[h=3]Doxycycline[/h]
[h=3]Directions for taking doxycycline[/h]
  • Doxycycline capsules must be taken after a meal
  • Take a single dose of two capsules daily for 10 days
  • Drink a full glass of water after taking the capsules, and do not lie down for at least half an hour.
Side effects

The main side effects of doxycycline are irritation of the stomach and increased sensitivity of the skin to sunlight. Stomach irritation is less likely if you avoid alcohol.

Do not have sex until all results of your tests are back and you have finished taking all the tablets.

Azithromycin
Directions for taking azithromycin
  • Take 1 gram as a single dose
  • this may be 2 or 4 tablets (depending on their strength).
Side effects

Azithromycin may cause abdominal pain and nausea. If this happens, eating sometimes helps. The symptoms usually settle within a few hours.

Do not have sex until all results of your tests are back and at least one week has passed.

Symptoms of discharge, stinging or irritation will settle down much more quickly if you rest the urethra by not having sex (vaginal, oral or anal) and not masturbating. Squeezing or milking the penis to look for a discharge will irritate the urethra and the symptoms will take longer to disappear.
  • Return to the clinic to obtain the final results of all your tests.
  • Never share your treatment with anyone else.
  • Partners do not automatically require treatment. They should be examined by a doctor first.
[h=2]Non specific urethritis (NSU)[/h]Urethritis not caused by either gonorrhoea or chlamydia is called non specific urethritis, or NSU. The cause of NSU is not known, however antibiotic treatment is effective.
Although NSU does not cause symptoms in women, female partners of men with NSU may need to be examined.
[h=2]Recurrent or persistent urethritis[/h]Sometimes the symptoms of urethritis are slow to settle, or they may return after a week or two. If you have taken antibiotics and there has been no further sex, it is unlikely that any infection is still present. The symptoms are likely to resolve in a week or two and you should not need further treatment. If you have had further sex or did not take all of the medication as directed, you may need further tests and should consult a doctor.
[h=2]Urethral Irritation[/h]Occasionally, a man may experience a discharge, or burning on urination but there is laboratory tests show no evidence of infection. This condition is called urethral irritation, and it means that the urethra has been affected by something other than an infection.
Possible causes of this condition include:
  • repeated squeezing or milking of the urethra
  • very frequent or vigorous masturbation or sexual activity
  • concentrated urine caused by dehydration
  • caffeine and/or alcohol, some medications
  • general illness
  • allergies.
Urethral irritation is not a sexually transmitted condition and it always settles without antibiotic treatment. It will settle faster if you avoid - sex, masturbation, squeezing the penis, alcohol and caffeine consumption.

Samahani mkuu napingana na article yako kila angle! tukirejea kwenye tatizo la huyu mdau... If it was an inflammation mdau angekujoa damu! ama pus ... hajamention hilo tatizo ... na si vibaya akaenda kupima STD for his own good again conclusion katika RED iliyoweka if you are really Health advisory ethically imefanya vibaya! you should have told him at list akawe tested for STD

Bro uliyeuliza swali you have an STD sexual transmitted disease tunakutana na hizi case kutwa mahospitalini "niliwahi kumsadia mdau humuhumu kwa njia ya PM lakini na anashkuru nilimstua mapema!..." mkuu you have Chlamydia , ni organism wa STD wanaleta tingling sensation katika male urethra! wanatekenya tekenya .

How do you get it?

1) kwa kitaalamu twawaita Chlamydia trachomatis (CT) unawapata unapofanya tendo yaani pale panapotokea direct contact with infected sexual fluids from the genitals unaweza ukasema but mimi si mzinzi nimewapaje hawa ? you should know PENETRATION is not necessary for the bacteria to be transmitted Close contact like rubbing between a penis and vagina, or a penis and penis prior to condom use, or masturbation with the sexual fluids of another person may be enough to transmit the bacteria if one partner has the infection. If the bacteria from the genitals is rubbed into the eye, it is possible but not common, to get an eye infection (conjunctivitis). The eye infection causes itchiness and blurred vision.

2) najuwa weye ni mwanaume but hata watoto wadogo wapo kwenye Risk chlamydia can also be spread from an infected woman's cervix to a baby during delivery. All babies in BC are treated with erythromycin eye drops after delivery to prevent the possibility of an eye infection.

dalili zake kama umekuwa infected baadhi ni kama zifuatazo-

1) a burning feeling when urinating

2) kwa kina dada change in periods, or more painful periods

3) pain during sex

4) pain in the lower stomach area

5) sligh Fever

P.S - Nenda zahati kapime STD esp.Chlamydia " pole sijui kiswahili chake am not practicing med tz" good news is STD can be treated BAD NEWS IS u kidelay pain might disapper then baada ya mwaka itakuja as chronic na kukusababishia KIFO!

UGUA POLE
 
Hizo ni fungus wala usihofu dawa zipo cha msingi nenda hospital kajue ni zipi then utumie dawa sahihi.

Huna tatizo kubwa la kutisha ni kawaida ila kuwa makini na vyoo vya kukaa, pia mshirikishe partner wako kwenye tiba
 
Hizo ni fungus wala usihofu dawa zipo cha msingi nenda hospital kajue ni zipi then utumie dawa sahihi.

Huna tatizo kubwa la kutisha ni kawaida ila kuwa makini na vyoo vya kukaa, pia mshirikishe partner wako kwenye tiba

Mkuu are you a doctor ..? ama unadhani ni fungus!?! sababu beliave me or not napata wagonjwa wa aina hii na mara nyingi explanation yake ni fupi sana the itching is more intense in the morning because of the bacteria build-up during the night, possible due to the long period of time without urination. THe itch goes away during the day (sometimes) because the urine helps to "push out" the bacteria, although not completely. Seek treatment now. Testing is real simple,

kwanini tusimshauri aka test for STD`s akikutwa yupo safi then awe treted for differential which is urethritis .. we shouldint ignore STD`s ni muhimu sana!
 
Hahaha! Duh!
Tafuta kile kijiti cha kufungia rollers ao toothpick, shikaa uume wako shingoni ukielekeza kichwa juu alafu ingiza kijiti taratiiiibu ndani ya shimo la kukojolea alafu kuna pole pole... hahahahaKama uutashindwa basi nenda hospitali ukapime infection, utapewa dawa na ushauri.
 
Wandugu nawasalimu wote kwa jina la mungu wetu anayetupa uzima hata kufika leo. Napenda kuwaslisha majibu ya wengi walionishauri niende kwa hospital kuwa nimekutwa siko na tatizo lolote. Ahksanteni sana wandugu
 
Wandugu nawasalimu wote kwa jina la mungu wetu anayetupa uzima hata kufika leo. napenda kuwaslisha majibu ya wengi walionishauri niende kwa hospital kuwa nimekutwa siko na tatizo lolote. ahksanteni sana wandugu
Umepona?
 
Kwanza niwashukuru wote waliochangia kwa moyo katika mada hii na napenda kusema nilifanya kama wengi mlivyonishauri niende hospitali. Baada ya vipimo majibu yalionyesha kuwa niko na bacteria infection. kitu ambacho kinanichanganya how huku na sio mahali pengine kokote? kwa maelezo ya Dr bacteria sio ugonjwa wa zinaa na pia hauambukizi kwa kujamiiana bali inawezekana nilipata either nguo iligusa bacteria somewhere or.
Livanga my darling you better take your uume to the hosp haraka kabla havijakuzidia. That's the best you can ever do.
 
Naomba ushauri wa kisayansi hapa, kama miaka mitatu iliyopita niliumwa UTI ikaambatana na muwasho ukeni lakini nikapewa dawa za kunywa na ya kupaka inaitwa DAKTARIN nikapona...lakini tangu siku hiyo muwasho umekuwa ukijirudia na kuondoka pindi nikiipaka daktarin na wakati mwingine nikijiangalia najikuta kuna kama viupele vidogo saanaaa kwa ndani kidogo manzoni mwa njia ya ukeni nikipima UTI sina na nikajaribu pia kupima STD"s pia sina.. Je nifanyeje mwenzenu????
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom