Nina tatizo la kuwashwa sehemu ya haja kubwa japo baadhi ya muda co muda wote . Nimekwisha tumia dawa za hosptl still problem persist for any wth help plz may you advice me wht to lauch.
Tatizo laweza kuwa fungus, ila pia ungetuambia ni muda gani hili tatizo huwa linakutokea, mfano asubuhi unapoamka, au baada ya matembezi marefu, au unapotoka kuoga/kujisaidia, ulipewa dawa gani hospital? Walikushauri nini? Walikwambia tatizo laweza kuwa nini?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.