mseseve
JF-Expert Member
- Apr 3, 2011
- 511
- 89
Jf doctor sijui tatizo langu ni nini mwili mzima huwasha hasa miguuni, sehemu za siri na kichwani. Ni muda mrefu sasa karibu miaka 5 na zinatoa harufu kali sana. Nishaonana na docta mara nyingi lkn sioni mafanikio yoyote. Hospital wanasema ni fungus mara damu imechafuka, yani siwaelew wanakula tuu hela yngu.jf doctor nisaidien nifanyeje ilinilipatie solution tatizo langu maana ni mda mrefu sasa nateseka