Heloo wanajamvi.
mm ninamatatizo yakuwashwa sana masikio na koo.yaan najitahidi kuyasafisha ila yanawasha kupita kiasi mwenye kujua hili naomba anisaidie
mimi pia nina hilo tatizo nikaenda hospital ya regency nikakutana na doctor wa koo akanishauri niache kutumia vinywaji vya baridi maji , soda, juice etc na kweli baada ya kufanya hivyo kwa mwezi mmoja nikawa sisumbuliwi tena na ikitokea nimetumia vinywaji vya baridi nawashwa tena so nikagundua kuwa vinywaji vya baridi sitakiwi kutumia.Heloo wanajamvi.
mm ninamatatizo yakuwashwa sana masikio na koo.yaan najitahidi kuyasafisha ila yanawasha kupita kiasi mwenye kujua hili naomba anisaidie