Kuwashwa kichwani

kinyongarangi

Member
May 4, 2011
67
16
Wana JF
mimi nasumbuliwa na kuwashwa kichwani kila mara najisikia kujikuna. pamoja na hilo nina tatizo la pressure na ulcers ambayo naamini hayahusiani na hili. tatizo langu ni nini na matibabu yake ni yapi. naomba msaada wenu wana JF hasa wataalamu wa tiba
 
Wewe ni mke/mme?
Unawashwa wakati gani?Mchana/Usiku?
Unatumia maji gani?Kisima?
Sabuni ipi?Shampoo je ipi?
Kuna dawa yeyote unameza now and then?
Nijibu/Tazama hayo kwanza............please.
 
Mimi ni mwanamme
Nawashwa mchana zaidi
Maji ya kisima
natumia emperial soap
natumia dawa za pressure(tenoric) lakini tatizo lilianza kable ya kuanza kuzitumia kama miaka minne iliyopita
Sisuki nywele
aina ya muwasho inakuwa kama utamu fulani hivi
 
Mimi ni mwanamme
Nawashwa mchana zaidi
Maji ya kisima
natumia emperial soap
natumia dawa za pressure(tenoric) lakini tatizo lilianza kable ya kuanza kuzitumia kama miaka minne iliyopita
Sisuki nywele
aina ya muwasho inakuwa kama utamu fulani hivi

nikikupa medical advice nitakudanganya sifahamu, nenda kamuone dermatologist ..
 
Mimi ni mwanamme
Nawashwa mchana zaidi
Maji ya kisima
natumia emperial soap
natumia dawa za pressure(tenoric) lakini tatizo lilianza kable ya kuanza kuzitumia kama miaka minne iliyopita
Sisuki nywele
aina ya muwasho inakuwa kama utamu fulani hivi

inaweza kuwa una fungal infection (ugonjwa wa mbaa)
je ukijikuna ngozi inatoa unga unga?
sasa basi kwa kuanzia kabla ya kwenda kumuona daktari (tatizo likizidi lol)
nenda supermarket hizi zetu za kisasa (kama zile za pale mlimani city dar) au kwenye duka la dawa
nunua shampoo (dawa ya kuosha nywele) inayoitwa HEAD AND SHOULDERS,
tumia hii kila siku kuosha kichwa.
na vizuri kama una nywele nyingi kichwani basi ukanyoa kidogo
 
Mimi hua nanyoa nywele zangu kila baada ya wiki 2. inasemekana nia dry skin. Nikinyoa upara hata sijisikii kuwashwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom