Kigarama
JF-Expert Member
- Apr 23, 2007
- 2,492
- 1,230
Experience yangu kuhusu mahusiano inanionyesha kuwa kuna wanawake na wanaume ambao hupendelea kuwasha taa wanapokuwa faragha wakati wengine wanapendelea kuzima taa wanapokuwa kwenye "shughuli". All in all, bomba ni ipi, kuzima taa au kuwasha taa. Na kama kuzima au kuwasha taa kunaathari yoyote wakati wa kuduu?