kuwasha taa au kuzima taa..... ipi bomba?

Kigarama

JF-Expert Member
Apr 23, 2007
2,492
1,230
Experience yangu kuhusu mahusiano inanionyesha kuwa kuna wanawake na wanaume ambao hupendelea kuwasha taa wanapokuwa faragha wakati wengine wanapendelea kuzima taa wanapokuwa kwenye "shughuli". All in all, bomba ni ipi, kuzima taa au kuwasha taa. Na kama kuzima au kuwasha taa kunaathari yoyote wakati wa kuduu?
 
Iwe kati ya kuzima na kuwasha.... yaani mwanga hafifu....

Athari za Kuzima taa....
  • Unamsoma mwenzio kwamba hana confidence - yaani na taa hayupo huru saana (hio tunapenda wadada saana)
  • Ku fakisha ni kwa saana for huwezi msoma mwenzio usoni for mara nyingi sounds sio reliant...
  • Yategemea siku hio mko kivipi na kwa mda gani mmepanga hio faragha, for kama mmepanga kesha ina maana yale yoote mloweka pembeni kama maybe drinks or the like mbona sasa mtamwagiana....
Athari za kuwasha taa..

  • Mwanga mkali yaweza muumiza hadi macho aloface juu....
  • Inaweza fanya mmoja wapo a-lose concetration ya tendo... Mfano; umeona bili ya umeme juu ya meza na huna pesa ya kuilipia... unaanza kufikiri sijui itoke wapi.
  • Mkimaliza mnaanza kutegeana nani azime... maana woote mpo hoi, na usingizi na taa kali wapi na wapi??
 
Mwanga hafifu ndio bomba,mataa makali haihusu kbs kwan tunawinda? naweza airisha game to next wiki!
 
Iwe kati ya kuzima na kuwasha.... yaani mwanga hafifu....

Athari za Kuzima taa....
  • Unamsoma mwenzio kwamba hana confidence - yaani na taa hayupo huru saana (hio tunapenda wadada saana)
  • Ku fakisha ni kwa saana for huwezi msoma mwenzio usoni for mara nyingi sounds sio reliant...
  • Yategemea siku hio mko kivipi na kwa mda gani mmepanga hio faragha, for kama mmepanga kesha ina maana yale yoote mloweka pembeni kama maybe drinks or the like mbona sasa mtamwagiana....
Athari za kuwasha taa..

  • Mwanga mkali yaweza muumiza hadi macho aloface juu....
  • Inaweza fanya mmoja wapo a-lose concetration ya tendo... Mfano; umeona bili ya umeme juu ya meza na huna pesa ya kuilipia... unaanza kufikiri sijui itoke wapi.
  • Mkimaliza mnaanza kutegeana nani azime... maana woote mpo hoi, na usingizi na taa kali wapi na wapi??
ashadii bwana... kama huyo mwanaume ni mchaga anaeza kuhairisha kabisa kwa sababu ya iyo bold hapo
 
kuwasha taa kunasaidia kuongeza mapenzi kwani kuna vitu unawez kuviangalia kwa mwenzako vikakusisimua zaidi lakini ukizima taa mpaka uviguse sio vingi
 
Iwe kati ya kuzima na kuwasha.... yaani mwanga hafifu....

Athari za Kuzima taa....
  • Unamsoma mwenzio kwamba hana confidence - yaani na taa hayupo huru saana (hio tunapenda wadada saana)
  • Ku fakisha ni kwa saana for huwezi msoma mwenzio usoni for mara nyingi sounds sio reliant...
  • Yategemea siku hio mko kivipi na kwa mda gani mmepanga hio faragha, for kama mmepanga kesha ina maana yale yoote mloweka pembeni kama maybe drinks or the like mbona sasa mtamwagiana....
Athari za kuwasha taa..

  • Mwanga mkali yaweza muumiza hadi macho aloface juu....
  • Inaweza fanya mmoja wapo a-lose concetration ya tendo... Mfano; umeona bili ya umeme juu ya meza na huna pesa ya kuilipia... unaanza kufikiri sijui itoke wapi.
  • Mkimaliza mnaanza kutegeana nani azime... maana woote mpo hoi, na usingizi na taa kali wapi na wapi??

duu! Ila reasons zako ni logic AD! Kwa uamuzi wanao wenyew kuzima au kuwasha,
 
kuwasha taa poa banaaa kwanza unamfaidi mtoto alivo jaaliwa
 
Kuzima taa? Labda kupunguza mwanga. Kama ulimpata gizani unaweza kuzima taa, otherwise...
 
Kila mtu na anavopenda.
Natural light ni nzuri ila kama ni usiku wekeni dim lights... hujenga mandhari nzuri ya kusisimua.
 
hiv kwenye giza unaweza potea njia au ni kama kula chakula gizani hukosei mdomo?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom