Kweli wanasiasa wa Tanzania mnatupeleka wapi Watanzania?
1.Sio ninyi mliounda Tume ya Kuchunguza mchakato wa Zabuni ya Richmond na badaye mkamwajibisha na kumwangusha Waziri mkuu EL?
2.Sio ninyi baadaye mkusema Dowans imerithi mkata kutoka kwa Kampuni HEWA ya Richmond ?Leo mnasema Mitambo ya Dowans iwashwe?
3.Sio ninyi mliosema mkataba wa IPTL ulikuwa na Harufu ya Rushwa?Leo
mnawasha Mitambo ya IPTL?
4.Sio ninyi mliopigia kelele Dowans wasilipwe 96Bn. Leo mnasema Mitambo yao iwashwe kwa dharura?
5.Sio ninyi Mliopokea jana Milioni 90 kila mmoja wenu za kununulia Magari ya Kifahari katikati ya dhiki kubwa ya maisha inayotukabili Watanzania?
Naomba Majibu kutoka kwa wana jamii wenzangu.
1.Sio ninyi mliounda Tume ya Kuchunguza mchakato wa Zabuni ya Richmond na badaye mkamwajibisha na kumwangusha Waziri mkuu EL?
2.Sio ninyi baadaye mkusema Dowans imerithi mkata kutoka kwa Kampuni HEWA ya Richmond ?Leo mnasema Mitambo ya Dowans iwashwe?
3.Sio ninyi mliosema mkataba wa IPTL ulikuwa na Harufu ya Rushwa?Leo
mnawasha Mitambo ya IPTL?
4.Sio ninyi mliopigia kelele Dowans wasilipwe 96Bn. Leo mnasema Mitambo yao iwashwe kwa dharura?
5.Sio ninyi Mliopokea jana Milioni 90 kila mmoja wenu za kununulia Magari ya Kifahari katikati ya dhiki kubwa ya maisha inayotukabili Watanzania?
Naomba Majibu kutoka kwa wana jamii wenzangu.