MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,562
Lakini Mkuu, ushuhuda wa nini? Wewe umelea mimba mpaka mtoto amezaliwa, ina maana siku zote ulikuwa na wasiwasi na mimba ya mtoto husika. Au unataka u-create fear situation kwa mkeo hasitoke nje ya ndoa?
Mi bwana aendage tu akapime kisirisiri asinambie akae nayo siri yake moyoni labda kama akikuta si wake ndo aseme!!