Ubumuntu
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 14,316
- 10,782
Hilo mimi lilinifanya nijiulize ofisi ya raisi inafanyaje kazi, ina maana alikuwa hajui kuwa leo atamteua huyo kuwa naibu waziri wa fedha hadi akurupuke kumteua haraka haraka hivyo kuwa mbunge.
Mkuu bado una imani na utendaji wa huyu rais na ofisi yake?! Una moyo.