Senior Boss
JF-Expert Member
- Aug 19, 2011
- 3,405
- 3,678
Imekuwa ikisemwa hivyo mara kwa mara. Mimi niliamini huu usemi mwaka 2002., nakumbuka nilikuja Dar kufatilia uhamisho wangu wa shule, nilikaa kwa baba yangu mdogo kwa takribani wiki moja. Huyo mama niliyemkuta hapo alikuwa hapiki mpaka mumewe awepo. Wiki niliiona kama mwaka, hata nilipoaga nilipewa nauli kimanati. Najua wengi tumepitia kwa ndugu kutokana na sababu mbalimbali, kuna walioishi vizuri lakini wengi wanalalamika. Je tatizo hasa nini? Ukiwa ni miongoni mwa uliyetendewa mabaya, umejifunza nini?
Hata marafiki wengine sio watu kabsa....nakumbuka long back nikiwa chuo nliwahi kukaa kwa a friend of mine for just a week nikijipanga kupata my own accomodation.
Yan ilikua nikitumia hata sukari, majani ya chai, jam & blue bland, sabuni etc. (vitu vidogo vidogo tu)....ilikua ni shida sanaa.
Kelele na majungu kibao....ni mengi tu alifanya na kuongea. Ilinifungua akili sana kuhusu tha type of people i call friends. Nkajiuliza sana, ivi siku nimeanguka nashida huyu ni mtu wa kutegemea kweli ??
Siku naondoka nikamnunulia kila kitu chake nlichotumia in that week. Alikua mshkaj wang sanaaa but since then ikawa ni salamu tu....after like 3 months jamaa alinifata akaniomba msamaha...nlimsamehe but it has never been the same....achilia mbali ugeni wa kindugu nao ni shida sanaaa.