Kuwa SHOGA hutaki nakata misaada

engmtolera

JF-Expert Member
Oct 21, 2010
5,150
1,437
haya,tujiandae na kila jambo juu ya misaada tuipokeayo kutoka nchi wahisani

kuwa shoga hutaki nakata misaada

tembea uchi hutaki nakata misaada

uza madini yako hutaki nakata misaada

tumia vyandarua vilivyotoboka hutaki nakata misaada


huo ndio utumwa wa misaada tunayoitafuta nchi za nje

kama bwana mackenzie alivytuletea ile habari ya kupunguza watu kazi,eti kupunguza matumizi ya serikali akadai kama hatutaki watakata misaada

Jamani umefika wakati wa kujitegemea kwa kile kidogo tulichonacho,la sivyo tutakuwa ni watu wa kulazimishwa kufanya kila jambo na hawa tunaowaita WAHISANI
 
Si tumezoea kila kitu ni kwa hisani ya watu wa. . . . . . . . . . .
 
Ndo hapo sasa, na hii nazi yetu si ndo ipo huko nje kuomba misaada....mana isipo safiri tutakufa njaa
 
Mtu akikufadhili ujue hakawii hata kukuchukulia mkeo/mumeo na ukibisha anasema nakata misaada!! nimewahi kuwauliza rafiki zangu kama 12 hivi jamani kati yenu nani anasaidiwa budget yake ya kuishi kwa mwezi kwa asilimia lau 7?!!

Kila mtu alikaaa kimya manake kwamba hakuna na hivyo ni juhudi zao wenyewe kujijua wao wataishije ana familia zao... sasa hizi nchi za Kiafrika zinadharaulika sana na haya Mazungu na hiyo yte ni kwasababu ya Viongozi waoga na vilaza tulio nao...manake wanaiba hapa wanapeleka huko ulaya zinazalishwa halafu wanaomba mkopo kwa mtaji huo huo aliokwiba hapa Afrika hii ni aibu sana..

Tusisahau Ulaya imefilisika sana saivi wanaenda kuomba omba Uchina sasa hao ndio watusaidie sisi?!! Are we serious?!! Tuamke tukatae hiyo misaada njaa tutaweza kuishi bila hiyo misaada na vile vile tutafaidi uhuru wetu ama la watasema mssilale na wake/waume zenu jmamos mkipinga hakuna misaada !!

Ujinga huoo..**** You Cameroun pumbafu kwanza ulimuua Ghadaff SHOGA FANYA NA MAMAKO huko huko..pumbaf kabisa mrisya...
 
kuna siku mtttambiwa ili upewe misaada lazima kwanza tuwatie wananchi wako dole wote ...
 
Mtu akikufadhili ujue hakawii hata kukuchukulia mkeo/mumeo na ukibisha anasema nakata misaada!! nimewahi kuwauliza rafiki zangu kama 12 hivi jamani kati yenu nani anasaidiwa budget yake ya kuishi kwa mwezi kwa asilimia lau 7?!! kila mtu alikaaa kimya manake kwamba hakuna na hivyo ni juhudi zao wenyewe kujijua wao wataishije ana familia zao... sasa hizi nchi za Kiafrika zinadharaulika sana na haya Mazungu na hiyo yte ni kwasababu ya Viongozi waoga na vilaza tulio nao...manake wanaiba hapa wanapeleka huko ulaya zinazalishwa halafu wanaomba mkopo kwa mtaji huo huo aliokwiba hapa Afrika hii ni aibu sana..

Tusisahau Ulaya imefilisika sana saivi wanaenda kuomba omba Uchina sasa hao ndio watusaidie sisi?!! are we serious?!! tuamke tukatae hiyo misaada njaa tutaweza kuishi bila hiyo misaada na vile vile tutafaidi uhuru wetu ama la watasema mssilale na wake/waume zenu jmamos mkipinga hakuna misaada !! ujinga huoo..**** You Cameroun pumbafu kwanza ulimuua Ghadaff SHOGA FANYA NA MAMAKO huko huko..pumbaf kabisa mrisya...

Jamaa wanakela sana,wanatumia fimbo ya misaada kutuletea uchafu wao

kama umesikia jana na juzi Zimbambwe wananchi wanamlaumu changirai waziri mkuu wa zimbambwe baada ya kulazimisha issue ya ushoga iwe ktk lasimu ya katiba,na ameyasema hayo wakati akihojiwa na BBC,Yaani huu uhisani utamaliza utamaduni wetu
 
Utumwa wa fikra ndio adui yetu mkubwa. Tunadhalilishwa na wakoloni kwa ajili ya ujinga wetu. Leo wanatuambia tuwe mashoga ndio tupate misaada na sisi tunakubali.

Nyerere alisema mwenye akili akikuambia jambo la kipumbavu na wewe ukakubali atakudharau. Wazungu wanatudharau kwa uroho wetu na uvivu wetu wa kufikiri.

Next time watasema tuingiliane kimwili na wazazi wetu, nasi tutakubali kwa kuwa tumejiaminisha akilini mwetu kuwa hatuwezi kuishi bila ya misaada
 
Utumwa wa fikra ndio adui yetu mkubwa. Tunadhalilishwa na wakoloni kwa ajili ya ujinga wetu. Leo wanatuambia tuwe mashoga ndio tupate misaada na sisi tunakubali. Nyerere alisema mwenye akili akikuambia jambo la kipumbavu na wewe ukakubali atakudharau. Wazungu wanatudharau kwa uroho wetu na uvivu wetu wa kufikiri.
Next time watasema tuingiliane kimwili na wazazi wetu, nasi tutakubali kwa kuwa tumejiaminisha akilini mwetu kuwa hatuwezi kuishi bila ya misaada

na hicho ndicho kijacho,kama umesikia pale Msowero Kilosa kunavyandarau vya wahisani vimeonekana kutoboka,mwenyekiti alipotaka kuliongelea hilo akaelezwa kuwa wahisani watakasirika-tunaumizwa kwa umasikini wetu wa kuombaomba,hivi kaka umeviona hivyo vyandarua vya wahisani? tundu lake nzi anapita je hapo ni kupunguza marelia ama kuyaongeza?
 
Mtu akikufadhili ujue hakawii hata kukuchukulia mkeo/mumeo na ukibisha anasema nakata misaada!! nimewahi kuwauliza rafiki zangu kama 12 hivi jamani kati yenu nani anasaidiwa budget yake ya kuishi kwa mwezi kwa asilimia lau 7?!! kila mtu alikaaa kimya manake kwamba hakuna na hivyo ni juhudi zao wenyewe kujijua wao wataishije ana familia zao... sasa hizi nchi za Kiafrika zinadharaulika sana na haya Mazungu na hiyo yte ni kwasababu ya Viongozi waoga na vilaza tulio nao...manake wanaiba hapa wanapeleka huko ulaya zinazalishwa halafu wanaomba mkopo kwa mtaji huo huo aliokwiba hapa Afrika hii ni aibu sana..

Tusisahau Ulaya imefilisika sana saivi wanaenda kuomba omba Uchina sasa hao ndio watusaidie sisi?!! are we serious?!! tuamke tukatae hiyo misaada njaa tutaweza kuishi bila hiyo misaada na vile vile tutafaidi uhuru wetu ama la watasema mssilale na wake/waume zenu jmamos mkipinga hakuna misaada !! ujinga huoo..**** You Cameroun pumbafu kwanza ulimuua Ghadaff SHOGA FANYA NA MAMAKO huko huko..pumbaf kabisa mrisya...
Kwa maisha ya mtanzania wa kawaida sioni kama hiyo misaada shogalizing ni muhimu yaani kusiwe na mjadala katika hili tuwape total ban kutusaidia na wawakilishi wakikubali uhanith huu ,tuwatimulie mbali kama wanahamu ya kuf..?@.rwa na kus,.?'gwa
si wamalizie hamu zao wakienda kwenye hizo ziara za kuombaomba!
 
Ujinga wetu na uoga ndio unaosababisha haya yote. Hapa inabidi nasi tubadilike na tuache ujinga na tuikatae hii misaada yenye masharti ya ajabu.
 
Kwa maisha ya mtanzania wa kawaida sioni kama hiyo misaada shogalizing ni muhimu yaani kusiwe na mjadala katika hili tuwape total ban kutusaidia na wawakilishi wakikubali uhanith huu ,tuwatimulie mbali kama wanahamu ya kuf..?@.rwa na kus,.?'gwa
si wamalizie hamu zao wakienda kwenye hizo ziara za kuombaomba!

hahahahahahahahaha
polepole mkuu
 
na hicho ndicho kijacho,kama umesikia pale Msowero Kilosa kunavyandarau vya wahisani vimeonekana kutoboka,mwenyekiti alipotaka kuliongelea hilo akaelezwa kuwa wahisani watakasirika-tunaumizwa kwa umasikini wetu wa kuombaomba,hivi kaka umeviona hivyo vyandarua vya wahisani? tundu lake nzi anapita je hapo ni kupunguza marelia ama kuyaongeza?

Ndio maana vyandarua hivyo huku kwetu vinatumika kwenye bustani za mbogamboga kuzuia kuku..
 
Hakuna kitu kinanaifedhehesha kama kuona msaada huu umetolewa kwa msaada wa raia walipa kodi wa nchi ya...................Blshit ni udhalilishaji wa ali yajuu kwani nilazima tuombe msaada??kwani bilioni tunazokusanya kwenye kodi zetu haziwezi kufanya kitu chochote??kwa nchi yetu??
 
Cha bule hewa na somtimes ukiugua utainunua hasptal.
Wewe unataka kula tu bila kuliwa.
 
Tunakokwenda tutaambiwa tulale na watoto wetu !!!!! Haki za watoto kuburudika!!! Mungu tuepushe na hawa mashetani weupe.
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom