Masai Mara
Senior Member
- Dec 25, 2014
- 134
- 54
Wakuu habari zenu,
Hili tatizo la kuwa na wasiwasi au hofu muda mwingi nini chanzo chake
Nawasilisha
Hili tatizo la kuwa na wasiwasi au hofu muda mwingi nini chanzo chake
Nawasilisha
Wasiwasi unatokana na pepo mchafu aka shetani mbaya unaye mwilini mwako ndio anaye kutia ugonjw awa wasiwasi maelezo zaidi nione nipate kukutibia.Wakuu habari zenu,
Hili tatizo la kuwa na wasiwasi au hofu muda mwingi nini chanzo chake
Nawasilisha
Mkuu huyo shetani ni wa kutupiwa au inakuwajeWasiwasi unatokana na pepo mchafu aka shetani mbaya unaye mwilini mwako ndio anaye kutia ugonjw awa wasiwasi maelezo zaidi nione nipate kukutibia.
Ukiwa na Shida yoyote ile
Usipo pona kwa Dawa za Hospitali nitafute mimi nipate kukutibia upate kupona ukihitaji matibabu yangu
Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano Herbalist Dr. MziziMkavu Email barua ya pepe. fewgoodman@hotmail.com What's App na Viber +905344508169
Dah.. Una uhusiano wowote na kupotea kwa faru John?Wakuu habari zenu,
Hili tatizo la kuwa na wasiwasi au hofu muda mwingi nini chanzo chake
Nawasilisha
Wewe kwako inakuwaje, funguka kidogohata Mimi nna hilo tatizo LA woga,wasiwasi hofu na kutojiamini
nadhani no saikolojia problms
nahofia kila kitu mpaka matendo mnayotenda.Wewe kwako inakuwaje, funguka kidogo
Vp alishapona lakini huyo rafiki yako.Dah pole sana, najua ni namna gani inasumbua.We unasema ni saikolojia tu, ndio tatizonahofia kila kitu mpaka matendo mnayotenda.
hata nikiongea nikifanya kitu
nahofia kurukwa na akili,kushindwa kuji control
niliwahi kuwa na rafiki yangu aliwshi kuchanganyikiwa
imenipelekea kuwa na woga Sana every time
n muda mrefu sasa
Jimix na watu.Wakuu habari zenu,
Hili tatizo la kuwa na wasiwasi au hofu muda mwingi nini chanzo chake
Nawasilisha
aliponaVp alishapona lakini huyo rafiki yako.Dah pole sana, najua ni namna gani inasumbua.We unasema ni saikolojia tu, ndio tatizo
Mzizimkavu anasema ni jini, je hiyo tiba unayosema ipojehuo ni ugonjwa wa kitaalam acheni kumchanganya mgonjwa na kuzidi kumtia hofu.wewe unahitaji usaidiwe kisaikolojia na utapona kabisa!usiende kwa sheikh wala usitumie dawa zozote.tumia cognitive behavior therapy itaisha na utasahau
yaani unavyotaka kuondolewa hilo jini ni sawa na kuzima moto kwa petrol unajuwa!we nenda kwenye internet utapata mambo mengi kukuhusu wewe tatizo lako.kama ngeli inapanda takutumia link usome ndani ya mda mchache utajiona ulikuwa wapi siku zoteMzizimkavu anasema ni jini, je hiyo tiba unayosema ipoje
mkuu nitumie hiyo link tafadhaliyaani unavyotaka kuondolewa hilo jini ni sawa na kuzima moto kwa petrol unajuwa!we nenda kwenye internet utapata mambo mengi kukuhusu wewe tatizo lako.kama ngeli inapanda takutumia link usome ndani ya mda mchache utajiona ulikuwa wapi siku zote
unaweza kufafanua vizuri hiki kituKapime vidonda vya tumbo
Hyo ni dalili moja wapo ya mtu mwenye vidonda vya tumbo ndo mana nasema jaribu kupima kipimo cha H pyloryunaweza kufafanua vizuri hiki kitu