Kuwa Mume na Baba ni Wajibu Usioepukika?

Nasikia ndoa ya miaka 5-10 inahesabiwa kuwa bado ni ndoa changa tu...

'Waoga hufa mara elfu moja kabla hawajafa'...

true.. true!!!

Do you wanna be part of the people wanaokufa mara 1000???

where is the great heart dude??
 
Hivyo kama kufanya tendo la ndoa ni lazima/wajibu/muhimu basi kufunga ndoa nako ni lazima/wajibu/muhimu?

You can say that again! Ila mimi nasimama kwenye 'muhimu' kuliko hizo mbili!
Na kama you can do without ngono, Useja ndio mpango mzima!
 
Nasikia ndoa ya miaka 5-10 inahesabiwa kuwa bado ni ndoa changa tu...

'Waoga hufa mara elfu moja kabla hawajafa'...

....Inategemea Mkuu wenye bahati zao huwa bado wako kwenye honeymoon ndefuuuuu....Ukiwaona kama huwajui utadhani wameoana wiki moja iliyopita na ndoa nyingine katika kipindi hicho tayari zinakuwa ziko juu ya mawe.


 
Last edited by a moderator:

....Inategemea Mkuu wenye bahati zao huwa bado wako kwenye honeymoon ndefuuuuu....Ukiwaona kama huwajui utadhani wameoana wiki moja iliyopita na ndoa nyingine katika kipindi hicho tayari zinakuwa ziko juu ya mawe.




BAK,

umenitoa machozi.... this song reminds me something i never want to remember

tumetoka mbali
 
Last edited by a moderator:
Kijani rijali ukishavuka umri wa miongo mitatu bila kuoa au kuwa na mtoto unasakamwa huko na kule. 'Hivi mwanetu utaoa lini?', utaulizwa na wajomba na shangazi zako. 'Yaani unataka tufe kabla ya kuona wajukuu?', utahojiwa na mabibi na mababu zako. 'Eti Kaka huna hata mtoto wa kusingiziwa', utasailiwa na dada na kaka zako. Jamani hivi kuoa na kuzaa ni wajibu? Si watu wameshaongezeka na kuijaza nchi? Ni dhambi na laana kutooa na kutozaa kama si mseja?

....Kuwemo kwenye ndoa ama kutokuwemo ni mamuzi mbayo yanatofautiana kati ya mtu na mtu. Utakuta mwingine ambaye aliwahi kuolewa/kuoa lakini bahati mbaya ndoa haikudumu anakwambia akimpata mtu atakayempenda na ambaye atakuwa tayari kuoa/kuolewa basi hatasita kabisa kurudi ndani ya ndoa nyingine kwa sababu maisha ya kuishi bila mume/mke wanayaona ni hayaendani kabisa na wao, na wengine baada ya kuharibikiwa ndoa mara moja ukawasikia wanasema kwamba mie ndoa basi....Kwa maoni yangu ndani ya ndoa kuna mambo mengi sana mazuri ukiachilia mbali hili la kunanihii ambalo nalo linachukua uzito mkubwa sana.
 
....Kuwemo kwenye ndoa ama kutokuwemo ni mamuzi mbayo yanatofautiana kati ya mtu na mtu. Utakuta mwingine ambaye aliwahi kuolewa/kuoa lakini bahati mbaya ndoa haikudumu anakwambia akimpata mtu atakayempenda na ambaye atakuwa tayari kuoa/kuolewa basi hatasita kabisa kurudi ndani ya ndoa nyingine kwa sababu maisha ya kuishi bila mume/mke wanayaona ni hayaendani kabisa na wao, na wengine baada ya kuharibikiwa ndoa mara moja ukawasikia wanasema kwamba mie ndoa basi....Kwa maoni yangu ndani ya ndoa kuna mambo mengi sana mazuri ukiachilia mbali hili la kunanihii ambalo nalo linachukua uzito mkubwa sana.

Ukiweka kwenye mizani(a) hayo mambo mengi sana mazuri yako ndani ya ndoa kuliko nje ya ndoa?
 
BAK,

umenitoa machozi.... this song reminds me something i never want to remember

tumetoka mbali


....Pole sana Mkuu naupenda sana huo wimbo na ambao umo kwenye soundtrack ya Pretty Woman, sinema ambayo nimeiangalia mara nyingi sana kuliko sinema nyingine yeyote ile na huwa siichoki LOL!...Pole Sana Mkuu.
 
Ukiweka kwenye mizani(a) hayo mambo mengi sana mazuri yako ndani ya ndoa kuliko nje ya ndoa?

Kwa maoni yangu ndani ya ndoa kuna mazuri mengi kuliko nje ya ndoa....usiniambie nifafanue LOL!...lakini siku hizi ndoa zinapungua sana na si ajabu miaka ijayo zikapotea kabisa.
 
....Pole sana Mkuu naupenda sana huo wimbo na ambao umo kwenye soundtrack ya Pretty Woman, sinema ambayo nimeiangalia mara nyingi sana kuliko sinema nyingine yeyote ile na huwa siichoki LOL!...Pole Sana Mkuu.
we acha tu

bidada aliyenichanganya (na tuliwahi fika mbali) kwa sasa anatia simanzi, alikimbilia "uwezo" sasa hakuna "uwezo

Inasikitisha
 
Zaeni muijaze dunia. Ila kweli, katika jamii zetu ushafikisha miaka 30 mtoto wa kiume hata home hawamjui girlfriend wako hata kuzugia lazima uandamwe.
Wengi huisiwa ni wahuni. Oaneni mpate huduma za malavidav kwa ukaribu zaidi. Lol
 
Kwa maoni yangu ndani ya ndoa kuna mazuri mengi kuliko nje ya ndoa....usiniambie nifafanue LOL!...lakini siku hizi ndoa zinapungua sana na si ajabu miaka ijayo zikapotea kabisa.

endangered species
 
Back
Top Bottom