FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,373
Lizzy mie pia naomba mkopo ,niko ndani sina hata ten,mkopo una riba or?Nikukopeshe?
Mi nna pesa ila nimegoma kutoka ili nisitumie.
Lizzy mie pia naomba mkopo ,niko ndani sina hata ten,mkopo una riba or?Nikukopeshe?
Mi nna pesa ila nimegoma kutoka ili nisitumie.
Huyo Kamanda haitaji starehe ya dakika nne, anahitaji maji ya dhahabu!