Nikopeshe........nakuona ka vile na ww umechalala.....
Kama ulikuwepo vile.aisee utakuwa mtoto wa askofu wa merelani....
masaa hayasogei....afu tv za kibongo bana music mbayaaa...
Huyo Kamanda haitaji starehe ya dakika nne, anahitaji maji ya dhahabu!Kama umechalala kula starehe hii..... Haiitaji uwe na fwedha.
Inategemea, hii mishahara ya tarehe ishirini na.... unaweza kujikuta tarehe 31 huna kitu!Aaahh wapi! Mbona mambo muswano tu!