opportunist2012
Member
- Feb 8, 2012
- 92
- 8
Wanachama wa CHADEMA na wanamageuzi wote ndani na nje ya nchi msiwe na wasiwasi wala hofu kwa kuvuliwa ubunge Lema.Uchaguzi ukirudiwa CHADEMA lazima itashinda tena.Uamuzi huu umejaa ukada wa CCM...huyu jaji anatumiwa na CCM.....CHADEMA itashinda tena kwa ushindi wa KISHINDO...ushindi utakuwa MNONO zaidi wa ule wa awali hivyo itakuwa aibu kwa CCM hali itakayopelekea CCM kuelekea kufa...haya CCM watamsimamisha nani?Batilda?...Kuna tetesi CCM ina mpango wa kupinga ushindi wa mbunge mteule wa CHADEMA ,Nassari wa jimbo la Arumeru.Hii yote ni hila ya CCM na uoga wao kwa CHADEMA.