Kuvuja siri & kauli ya Msajili vyathibitisha ukweli wa mtonyaji serikalini kuhusu vifo mikutanoni

By Msuguyumlonje
  • A%20S%20cry.gif


.CCM tambueni kuwa MUNGU yupo aliyeumba mbingu na dunia.Mmeshindwa kugundua kwamba mnamtumikia shetani?
 
Viongozi wa CDM wanatakiwa wawe makini na kamwe wasikate tamaa, hii ni vita ambayo inavikwazo vingi sana yapo mengi watakayokutanayo huu ni kama mwanzo tuu. hakuna uhuru uanaopatika kwa urahisi.

CCM hawapo tayari kuachia nchi kiurahisi kwani madaraka matamu sana cha msingi ni kukaza moyo, kukubali kuumia kwa ajili ya kuokoa maisha na haki ya watanzania walio wengi.
 
Nilimsikia jana kwenye taarifa anasema, vyama vyenye vurugu vitafutiwa usajili

Nikawaza, anayo malaka hayo kisheria?? na vurugu za kusababisha chama kuvutwa zutapimwaje??

Kumbe ndio mswada unaandaliwa??

Kila kitu kinakuja na kupita, ilianguka Rumi miaka hivyo sembuse hawa.

Mh Ndugai alituambia kuwa baadhi ya wabunge hutumia kilevi na kuvuta sigara kubwa kabla ya kuja bungeni.Hivi huyo Tendwo huwa anatumia Kilevi gani kabla ya kuzungumza na waandishi wa habari?
 
walipanga kuua sasa wameumbuka, maneno ya msajili aloitakiwa kuyatoa baada ya kifo kaedit kidogo... badara ya kukifuta CDM, tutafua vyama vitakavyo sababisha vifo....

Kwenye hotuba ya msajili ambayo aliisoma kwa unyonge,maana malengo yao hayakutimia ali-edit neno CHADEMA na kupachika vyama vya siasa!

Hiyo nia yao ovu ambayo tayari wassira alikuwa ametolea tamko la kuifuta chadema kama week mbili zilizopita walitaka kuitekeleza kupitia tukio la Iringa, lakini kwakuwa Mungu aliisaidia CHADEMA kuepuka huo mtego kwa kutokufanya mikutano ya hadhara police ambao walikuwa wamekaririshwa amri walijkuta wanatekeleza walichoambiwa kwenye mazingira yasiyofaa na wakajikuta wanaumbuka!

Mungu ibariki CHADEMA Mungu ibariki Tanzania.
 
:flypig::flypig:
walipanga kuua sasa wameumbuka, maneno ya msajili aloitakiwa kuyatoa baada ya kifo kaedit kidogo... badara ya kukifuta CDM, tutafua vyama vitakavyo sababisha vifo....

Hekima,Busara na usomi wa cheo cha mzee mh tendwa ameudhalilisha, picha walizopigwa policcm wakimlipua mwandishi wa habari zinatoa jibu nani kaua hii haihitaji uwe umesoma au haukusoma.

CCM wanawatumia vibaya policcm na hivyo wao wanajichonganisha na wananchi wenye kufikiri, ingawa akina Nape, Dr. Nchimbi hilo hawalioni wanachojali mkono umekwenda kinywani, NJAA MBAYA JAMANI
 
Inatia aibu na kufedhehesha mtu mzima kujibu maswali kwa matusi eti kwa sababu ulijibiwa kwa matusi!

Ni kuulize maswali machache!

1: je marufuku ya mikutano yalikuwa kwa cdm tu? Una habari kuwa ccm zanzibar waliendelea na mikutano?

2: je watu wanapo vunja sheria basi haki yao ni kutumia nguvu na kuhakisha wana tolewa utumbo na kupigwa risasi?

3: je una habari kuwa pamoja na picha kuonesha wazi hivyo lakini viongozi wako wame kinzana kwa kauli tofauti wengine wakisema ni wananchi walirusha kitu kizito?

4: je kulikuwa kuna haja gani ya kusafirisha askari toka mbeya na dodoma kwaajili ya kulinda usalama, je wa iringa hawajui kulinda?
 
Hongera kwa kuwa na kipaji cha kutunga mashairi, kwa kweli mungu amekuaalia kwa hilo. Hivi hujiulizi kwa nini iwe mikutano ya CDM tu, na kwanini iwe polisi wawaonee CDM tu, wakati kuna vyama lukuki. kwa ufupi CDM ina viongozi wakurupukaji ndo maana mnaona haya yanatokea. tuanzie arusha, waliambiwa fanyeni mkutano lkn msiandamano wakalazimisha, singida wamaua na kumsingizia mwigulu kwa sababu aliwapa live bungeni, Morogoro yametokea hayox2, Iringa yametokea hayox2, sasa kwanini watu wasiamini kwamba CDM ni wauwaji kwa kutotii sheria za nchi, na badala yake kufanya ubabe hata kwa vyombo vya dola? Tafakarini enyi mlio gizani.

Wanzuki siyo pombe za kawaida! Kama mtu unakunywa wanzuki hangover yake ndo unaongea pumba kama hizi! Kwani tarehe 2/9/2012 CCM hamkufanya mikutano ya kisiasa, hizo sheria anatungiwa Chadema tu! Nonsense..
 
Wakuu,
Jumatatu niliweka uzi hapa kuhusu nini hasa kinachoweza kuwa nyuma ya pazia la vifo vyenye utata ktk mikutano ya Chadema. Mtumishi wa idara muhimu ya serikali alniambia kuwa kuna mkakati wa kujaribu kudhoofisha chama chenu serikalini.
Kwamba mkakati wa serikali ni kutunga sheria ya kuthibiti vyama vya upinzani hususani Chadema mbele ya safari.
Kwamba hofu yao ni kama sheria hiyo itakukubalika kwa wananchi na wahisani. Na kwamba kuna maofisa wanaodhani kuwa sheria hiyo italeta vurugu.
Na hoja yake ni kwamba inawezekana vifo hivyo vimepangwa ili kuwalainisha wahisani, na kuwaandaa wananchi kuikubali sheria husika pamoja na kuwapa hoja wakubwa serikalini wanaoipigia chapuo sheria hiyo. Pili, sheria ikikwama basi mbinu za kuwachafua zinaweza kutumika. Utunzi wa sheria hii ulishadokezwa hadharani Bungeni na Mwanasheria mkuu.
Leo naomba nitoe hoja 2 zinazoonesha kwamba mtonyaji wangu kutoka serikalini alikuwa mkweli na yuko sahihi.

Mosi, kuvuja kwa siri ya Askari kutolewa nje ya Mkoa wa Iringa kinyemela kama lilivyonukuliwa na gazeti la mwananchi hapa chini

Chanzo hicho kilisema kwamba awali, hawakuwa wakifahamu kama baadhi ya wenzao walichukuliwa na kupelekwa Iringa. “Tulikuja kuona kwenye gazeti picha na tulipofuatilia tukaelezwa kuwa ni kweli Dodoma ilitoa askari kwenda Iringa.”

Askari mwingine aliyekuwa katika operesheni hiyo ambaye jina lake tunalihifadhi kwa sababu za kitaaluma, alikiri kuwa hadi jana baadhi yao walikuwa bado wako Iringa na kwamba walikwenda kwa agizo la wakubwa wake wa kazi.
“Sisi ni Watanzania, lakini tumelazimika kuyafanya hayo kwa sababu ya mkate (malipo). Kwa kweli haikuwa haki, kuwatoa askari na silaha kutoka mikoa mitatu kana kwamba wanakwenda kupigana vita!”

Alidokeza kwamba, askari wote waliotoka Dodoma walikuwa njiani kurudi mkoani humo, jana lakini gari la maji ya kuwasha liliendelea kubaki huko Iringa likiwa na dereva wake na askari mmoja mwenye cheo cha inspekta. Askari huyo alisema kwamba gari hilo lililazimika kubaki kutokana na hitilafu.

“Wengine wamerudi lakini, kuna wengine wenye gari la kuwasha bado walikuwa Iringa, gari lao limepata hitilafu kidogo,” kilisema chanzo hicho kutoka mjini Dodoma.

Mmoja wa askari hao alidaiwa kwamba hiyo inaweza kuwa moja ya sababu ya askari hao kumshambulia marehemu Mwangosi wakati mwenzao anayemfahamu akijaribu kuwazuia. "Hii inaonyesha kuwa askari hao waliompiga walikuwa hawamjui na huyu aliyekuwa akiwazuia, alimjua.”

Alipoulizwa kuhusu taarifa hizo, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, Zelothe Stephen hakukubali wala kukanusha na badala yake alisema: “Mambo yote hayo yanatakiwa kujibiwa na Kamanda wa Iringa.”
Aidha, alisema sakata la kifo cha mwandishi huyo kwa sasa liko katika vyombo vya uchunguzi hivyo asingekuwa tayari kulizungumzia.

“Siwezi kusema kama askari wangu walikwenda huko au hawakwenda, isipokuwa ninachoweza kusema ni kwamba suala hilo lipo katika vyombo husika hivyo waachiwe wao au Kamanda wa Iringa ndiye mwenye majibu.”
Alipotajiwa jina la mmoja wa askari aliyeonekana katika picha za video na magazeti za tukio hilo kwamba anatokea katika moja ya vituo vyake, kamanda huyo alisema: “Mimi yakitokea Dodoma nitazungumza wala siyo mtu mwingine kwa hiyo, mambo ya Iringa siwezi kuyazungumza na kama tutaanza kila Kamanda kuzungumza jambo hilo hamuoni kuwa itakuwa ni kama vurugu?”


Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, Athuman Diwani alikanusha pia kuwapeleka askari wake Iringa akisema: “Hizo taarifa siyo za kweli. Hakuna askari yeyote aliyekwenda Iringa wakati wa vurugu zile

Maswali ya kujiuliza
Kwa nini askari waliochukuliwa kwa siri hata bila wenzao kujua?
Kwanini makamanda wa mikoa walipoulizwa na mwananchi kuhusu sakata hili wamekuwa waoga kusema ndio au hapana kama ni utaratibu wa kawaida kupeleka askari wa ziada Iringa. Na je, mbona haikutangazwa? Kwani siri? Kwa nini Kamanda wa Mkoa wa Mbeya alidanganya kwa kusema hapana wakati jibu ni kweli askari wake walienda Iringa? Je, askari kutoka Mbeya walitoroka? Nini malengo yao.
Sasa mimi nikihitimisha kwamba askari hawa walikuwa na lengo maalum, ninakosea?
NB; Ifahamike kuwa askari hao wanaletwa Iringa wakati Chadema walishakubali kuendelea na mikutano ya ndani kupisha sensa badala hadhara na hakukuwa na mvutano mkubwa baina yao uliohitaji nguvu kubwa kiasi hicho.

Hoja ya pili ni kauli za viongozi hasa J. Tendwa na Waziri Nchimbi.
Msajili wa vyama John Tendwa na Waziri Nchimbi kwa nyakati tofauti wanatoa hoja za kuilaumu zaidi Chadema, huku Tendwa akitishia kufuta Chadema. Wote hawa, wanajua kwamba ktk vifo vyote hivyo, hakuna kosa la dhahiri lililofanywa na viongozi au wanachama wa kawaida. Badala yake wao wamekuja kudhihirisha kile ambacho mtonyaji wangu aliniambia kuwa lengo ni kupunguza nguvu ya Chadema kwa kuitungia sheria mbovu, kuichafua, kuwatisha wananchi ili wasusie chama hicho na ikiwezekana waifute, japo ktk kuifuta hawakoserious.
Hii taarifa ya Molemo nayo inatisha.

NB;Wakati huo huo, usisahau kwamba mrithi wa Shehe Yahaya Nape Nnauye alitabiri kifo cha Ali Zona pale alipowatahadharisha wananchi wa Morogoro redioni siku mmoja kabla kuwa wasiende ktk mikutano ya Chadema Morogoro kwa sababu vurugu zitatokea. Mtabiri Nnauye alipatia na mtu akafa. Je, yeye ni mtabiri mzuri au alijua kitakachokea? alijuaje?


Mwisho ni je, jitihada zao zimefika mwisho? Muda utatuambia. tafakari.




Mie huwa habari za kwako siziamini kwani nyingi huwa ni za kubuni kwa ajili yakutetea chama chako, kwa kifupi huwa hauko fair kwenye kuripoti kwako, leo hii mnasema usalama wa taifa hamuuamini kesho mnakuja na story za kuwa mmepata habari za kutoka kwa hao hao watu wa usalama, sasa hapo ndipo credibility ya info zenu inapokuwa kwenye walakini mkubwa na za kubuni. Na jf inapokubali habari za namna hii inapoteza mwelekeo, hapa ni jukwaa la uwazi wataje watu hao kwa majina tuwajue.
 
:flypig::flypig:

Hekima,Busara na usomi wa cheo cha mzee mh tendwa ameudhalilisha, picha walizopigwa policcm wakimlipua mwandishi wa habari zinatoa jibu nani kaua hii haihitaji uwe umesoma au haukusoma.
CCM wanawatumia vibaya policcm na hivyo wao wanajichonganisha na wananchi wenye kufikiri, ingawa akina nepi, dR nchimbi hilo hawalioni wanachojali mkono umekwenda kinywani, NJAA MBAYA JAMANI

Dalili za serikali zinazoondolewa madarakani ndo hizi hapa! Hawa hawatabakia madarakani, tutawaondoa hata kwa nguvu! Wanatumia dola vibaya!
 
Mimi swali langu kwa Tendwa:
Chama kitakachosababisha mauaji kitafungwa. Mauaji ya Arusha, Morogoro na sasa Iringa yanesababishwa na chama au Polisi? Mbona asitishie kuifungia Polisi?

Swali kwa F****kn chimbi:
1. Nina mashaka na udokta wake. je mbona siko hiyo hiyo Januari makamba alifanya Mkutano huko bumbuli na mwingine ulifanyika huko zanzibar, Huko kulikuwa hamna sensa? au cdm walikaidi amri ila makamba yuko juu ya sheria?
2. iweje wauaji ni serikali ya ccm na polici wake halafu wachunguzi ni haohao?
 
Kama Tendwa ndio anatoa ushauri huu basi inaonyesha kuwa hayuko neutral. Ngoja akifute chama kwenye daftari lakini hakitafutika kwenye mioyo ya watanzania waliokombolewa. Na mapambano ndio yataendelea kuzidi ilivyo sasa

Wakuu,
Jumatatu niliweka uzi hapa kuhusu nini hasa kinachoweza kuwa nyuma ya pazia la vifo vyenye utata ktk mikutano ya Chadema. Mtumishi wa idara muhimu ya serikali alniambia kuwa kuna mkakati wa kujaribu kudhoofisha chama chenu serikalini.
Kwamba mkakati wa serikali ni kutunga sheria ya kuthibiti vyama vya upinzani hususani Chadema mbele ya safari.
Kwamba hofu yao ni kama sheria hiyo itakukubalika kwa wananchi na wahisani. Na kwamba kuna maofisa wanaodhani kuwa sheria hiyo italeta vurugu.
Na hoja yake ni kwamba inawezekana vifo hivyo vimepangwa ili kuwalainisha wahisani, na kuwaandaa wananchi kuikubali sheria husika pamoja na kuwapa hoja wakubwa serikalini wanaoipigia chapuo sheria hiyo. Pili, sheria ikikwama basi mbinu za kuwachafua zinaweza kutumika. Utunzi wa sheria hii ulishadokezwa hadharani Bungeni na Mwanasheria mkuu.
Leo naomba nitoe hoja 2 zinazoonesha kwamba mtonyaji wangu kutoka serikalini alikuwa mkweli na yuko sahihi.

Mosi, kuvuja kwa siri ya Askari kutolewa nje ya Mkoa wa Iringa kinyemela kama lilivyonukuliwa na gazeti la mwananchi hapa chini

Chanzo hicho kilisema kwamba awali, hawakuwa wakifahamu kama baadhi ya wenzao walichukuliwa na kupelekwa Iringa. “Tulikuja kuona kwenye gazeti picha na tulipofuatilia tukaelezwa kuwa ni kweli Dodoma ilitoa askari kwenda Iringa.”

Askari mwingine aliyekuwa katika operesheni hiyo ambaye jina lake tunalihifadhi kwa sababu za kitaaluma, alikiri kuwa hadi jana baadhi yao walikuwa bado wako Iringa na kwamba walikwenda kwa agizo la wakubwa wake wa kazi.
“Sisi ni Watanzania, lakini tumelazimika kuyafanya hayo kwa sababu ya mkate (malipo). Kwa kweli haikuwa haki, kuwatoa askari na silaha kutoka mikoa mitatu kana kwamba wanakwenda kupigana vita!”

Alidokeza kwamba, askari wote waliotoka Dodoma walikuwa njiani kurudi mkoani humo, jana lakini gari la maji ya kuwasha liliendelea kubaki huko Iringa likiwa na dereva wake na askari mmoja mwenye cheo cha inspekta. Askari huyo alisema kwamba gari hilo lililazimika kubaki kutokana na hitilafu.

“Wengine wamerudi lakini, kuna wengine wenye gari la kuwasha bado walikuwa Iringa, gari lao limepata hitilafu kidogo,” kilisema chanzo hicho kutoka mjini Dodoma.

Mmoja wa askari hao alidaiwa kwamba hiyo inaweza kuwa moja ya sababu ya askari hao kumshambulia marehemu Mwangosi wakati mwenzao anayemfahamu akijaribu kuwazuia. "Hii inaonyesha kuwa askari hao waliompiga walikuwa hawamjui na huyu aliyekuwa akiwazuia, alimjua.”

Alipoulizwa kuhusu taarifa hizo, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, Zelothe Stephen hakukubali wala kukanusha na badala yake alisema: “Mambo yote hayo yanatakiwa kujibiwa na Kamanda wa Iringa.”
Aidha, alisema sakata la kifo cha mwandishi huyo kwa sasa liko katika vyombo vya uchunguzi hivyo asingekuwa tayari kulizungumzia.

“Siwezi kusema kama askari wangu walikwenda huko au hawakwenda, isipokuwa ninachoweza kusema ni kwamba suala hilo lipo katika vyombo husika hivyo waachiwe wao au Kamanda wa Iringa ndiye mwenye majibu.”
Alipotajiwa jina la mmoja wa askari aliyeonekana katika picha za video na magazeti za tukio hilo kwamba anatokea katika moja ya vituo vyake, kamanda huyo alisema: “Mimi yakitokea Dodoma nitazungumza wala siyo mtu mwingine kwa hiyo, mambo ya Iringa siwezi kuyazungumza na kama tutaanza kila Kamanda kuzungumza jambo hilo hamuoni kuwa itakuwa ni kama vurugu?”


Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, Athuman Diwani alikanusha pia kuwapeleka askari wake Iringa akisema: “Hizo taarifa siyo za kweli. Hakuna askari yeyote aliyekwenda Iringa wakati wa vurugu zile

Maswali ya kujiuliza
Kwa nini askari waliochukuliwa kwa siri hata bila wenzao kujua?
Kwanini makamanda wa mikoa walipoulizwa na mwananchi kuhusu sakata hili wamekuwa waoga kusema ndio au hapana kama ni utaratibu wa kawaida kupeleka askari wa ziada Iringa. Na je, mbona haikutangazwa? Kwani siri? Kwa nini Kamanda wa Mkoa wa Mbeya alidanganya kwa kusema hapana wakati jibu ni kweli askari wake walienda Iringa? Je, askari kutoka Mbeya walitoroka? Nini malengo yao.
Sasa mimi nikihitimisha kwamba askari hawa walikuwa na lengo maalum, ninakosea?
NB; Ifahamike kuwa askari hao wanaletwa Iringa wakati Chadema walishakubali kuendelea na mikutano ya ndani kupisha sensa badala hadhara na hakukuwa na mvutano mkubwa baina yao uliohitaji nguvu kubwa kiasi hicho.

Hoja ya pili ni kauli za viongozi hasa J. Tendwa na Waziri Nchimbi.
Msajili wa vyama John Tendwa na Waziri Nchimbi kwa nyakati tofauti wanatoa hoja za kuilaumu zaidi Chadema, huku Tendwa akitishia kufuta Chadema. Wote hawa, wanajua kwamba ktk vifo vyote hivyo, hakuna kosa la dhahiri lililofanywa na viongozi au wanachama wa kawaida. Badala yake wao wamekuja kudhihirisha kile ambacho mtonyaji wangu aliniambia kuwa lengo ni kupunguza nguvu ya Chadema kwa kuitungia sheria mbovu, kuichafua, kuwatisha wananchi ili wasusie chama hicho na ikiwezekana waifute, japo ktk kuifuta hawakoserious.
Hii taarifa ya Molemo nayo inatisha.

NB;Wakati huo huo, usisahau kwamba mrithi wa Shehe Yahaya Nape Nnauye alitabiri kifo cha Ali Zona pale alipowatahadharisha wananchi wa Morogoro redioni siku mmoja kabla kuwa wasiende ktk mikutano ya Chadema Morogoro kwa sababu vurugu zitatokea. Mtabiri Nnauye alipatia na mtu akafa. Je, yeye ni mtabiri mzuri au alijua kitakachokea? alijuaje?


Mwisho ni je, jitihada zao zimefika mwisho? Muda utatuambia. tafakari.

 
Utakuwa umebanwa na nya, wewe ulitegemea polisi wakae nyumbani wakati boss wenu ametuma msg kwa IGP ya kufanya ugaidi? na je kwa msg ile ulitegemea yepi yatokee? polisi wanafanya kazi yao, na kama unamacho ya kibinaadamu na siyo ya kiCDM angalia ile picha vizuri inaonyesha yule raia alimkumbatia askari, je kama ilikuwa ni bimu basi lingefumua matumbo yote, ya raia na polisi pia. na je kwanini polisi walijeruhiwa kwa hiyo unataka kuniambia walijipiga bomu wenyewe? nakuomba katoe kwanzxa nya halafu urudi. karibu.

Mkuu twende kwa hoja, usitukane.
Kwa habari ya msg ya Dr Slaa kwenda IGP kama ni kweli au la. Tusijadili, maana wote wawili - Slaa na Wema, wamekaa kimya. Alikurupuka tu waziri Nchimbi. Na ndo maana Serikali imekaa kimya. Kile kifaa cha kuingilia mawasiliano kingalipo nchini, tusijadili hilo kwanza.

Yule aliyemshika askari mguu siyo Raia, yule ni marehemu Daudi Mwangosi mwenyewe. Baada ya zile picha kutoka polisi wenyewe na Serikali wamekaa kimya. Maana yake wanaona kuwa pa kutokea pamezibwa sasa wewe usilazimishe majibu. Ndo maana Chagonja ameacha ngonjera.
Tatu, waandishi 2 waliokuwepo pale ambao walitoa ushuhuda kupitia ITV na ambao maelezo yao yanafana kuhusu tukio hilo ndo watakaomaliza tatizo hilo. Hapo hakuna pa kutokea.
Nne, Daudi Mwangosi alikuwa kazini kivyake kama mwandishi ktk eneo la tukio kwa hiyo hata kama alifanya fujo kwa jinsi polisi walivyo wengi wangeweza kumkamata kwa njia za kawaida na siyo kumlipua bomu.
Tano, Mbona mwanzoni walisema wafuasi wa chadema walimpiga kisogoni na kitu kizito? Baada ya picha wamekaa kimya. Mungu anaipenda Tanzania bado

 
Inatia aibu na kufedhehesha mtu mzima kujibu maswali kwa matusi eti kwa sababu ulijibiwa kwa matusi!

Ni kuulize maswali machache!

1: je marufuku ya mikutano yalikuwa kwa cdm tu? Una habari kuwa ccm zanzibar waliendelea na mikutano?

2: je watu wanapo vunja sheria basi haki yao ni kutumia nguvu na kuhakisha wana tolewa utumbo na kupigwa risasi?

3: je una habari kuwa pamoja na picha kuonesha wazi hivyo lakini viongozi wako wame kinzana kwa kauli tofauti wengine wakisema ni wananchi walirusha kitu kizito?

4: je kulikuwa kuna haja gani ya kusafirisha askari toka mbeya na dodoma kwaajili ya kulinda usalama, je wa iringa hawajui kulinda?
Nikwambie tu mimi sijatukana ila mwenzio ndo kanitukana, tuje kwenye msingi, je unahabari kuwa mikutano ya CDM ina record ya kuforce maandamano na kusababisha vifo? Pili. suala la polisi kutumwa kutoka mikoa mbali mbali sioni hata kama ni hoja, kwa sababu tujuavyo polisi wako wachache na hata hivyo wametokea Tz, endapo wangetokea Kenya, uganda au burundi ndo ningeshangaa, kama unakumbuka Pemba walikuwa wanatolewa askari mikoa yote Tz kwenda kulinda amani, sasa unaona ajabu ya iringa na mbeya ambayo ni pua na mdomo.? Kama polisi wametoa utumbo watu ni wapi ilishatokea kwingine kama siyo kwenye mikutano yenu ambayo mnayodai ni nguvu ya kuua ili mpate madaraka. na je unafikiri mtu akishakujeruhi unaweza kumpa nafasi tena ya kuendelea kujeruhi watu. nasema hivyo kwa sababu CDM wakiambiwa fanyeni mikutano wao wanaandama ili kukidhi matakwa yao ambayo ndo tunayoshuhudia sasa hivi. kwa hiyo mi naona ni sahihi kuwastopisha kufanya maandamanio kwa sababu wna record mbaya ya mauaji, hata kama ilitokea polisi wakaua basi ilitokea kama ajali kazini na kwa kulazimishwa na CDM. Fullstop.
 
Umenena vema na umetumia kichwa chako kufikiri vyema, asante sana.
Ukiunganisha maneno ya watu wafuatao utajua tu kuna mpango ulipangwa ili wapate njia ya kutimiza adhima yao

1: chadema hakitafikisha mwaka-wassira
2: serikali itashughulikia vyama vivyo hatarisha amani na utulivu wanchi-wassira
3: chadema wamepanga kufanya vurugu na wasii wanachi wasiende kwenye mikutano yao-Nape
4: cdm wameandaa vijana ili wakafanye vurugu kwenye mikutano yao

5: Nitatumia rungu langu kuvifuta vyama vya siasa vinavyo sababisha vifo- Tendwa

Mungu ni mwema sana na hamtupi mwenye haki!

Mungu ibariki Tanzania, mungu wabariki wapenda mabadiliko, mungu ibariki Tanzania


Kwenye hotuba ya msajili ambayo aliisoma kwa unyonge,maana malengo yao hayakutimia ali-edit neno CHADEMA na kupachika vyama vya siasa! Hiyo nia yao ovu ambayo tayari wassira alikuwa ametolea tamko la kuifuta chadema kama week mbili zilizopita walitaka kuitekeleza kupitia tukio la Iringa, lakini kwakuwa Mungu aliisaidia CHADEMA kuepuka huo mtego kwa kutokufanya mikutano ya hadhara police ambao walikuwa wamekaririshwa amri walijkuta wanatekeleza walichoambiwa kwenye mazingira yasiyofaa na wakajikuta wanaumbuka!Mungu ibariki CHADEMA Mungu ibariki Tanzania.
 
Mimi swali langu kwa Tendwa:
Chama kitakachosababisha mauaji kitafungwa. Mauaji ya Arusha, Morogoro na sasa Iringa yanesababishwa na chama au Polisi? Mbona asitishie kuifungia Polisi?

Swali kwa F****kn chimbi:
1. Nina mashaka na udokta wake. je mbona siko hiyo hiyo Januari makamba alifanya Mkutano huko bumbuli na mwingine ulifanyika huko zanzibar, Huko kulikuwa hamna sensa? au cdm walikaidi amri ila makamba yuko juu ya sheria?
2. iweje wauaji ni serikali ya ccm na polici wake halafu wachunguzi ni haohao?


Hapo sasa, sijui watajibuje? ukumbuke Chadema walikuwa wanafanya mkutano wa ndani si hadhara. Bumbuli na Unguja kwema pamoja na kufanya mkutano mkubwa kuliko wa Chadema!!!!
 
Michael, matukio yamefanya homework yangu kutohitajika. Ni wazi uko uhusiano mkubwa sana wa mtonyaji na mtiririko wa matukio. Kuna mdau huku alisema hivi, namnukuu "...mashetani wanafanya kazi zao katika uwazi mkubwa huku wao wakidhani ni ktk usiri mkubwa mno"
 
Mkuu twende kwa hoja, usitukane.
Kwa habari ya msg ya Dr Slaa kwenda IGP kama ni kweli au la. Tusijadili, maana wote wawili - Slaa na Wema, wamekaa kimya. Alikurupuka tu waziri Nchimbi. Na ndo maana Serikali imekaa kimya. Kile kifaa cha kuingilia mawasiliano kingalipo nchini, tusijadili hilo kwanza.

Yule aliyemshika askari mguu siyo Raia, yule ni marehemu Daudi Mwangosi mwenyewe. Baada ya zile picha kutoka polisi wenyewe na Serikali wamekaa kimya. Maana yake wanaona kuwa pa kutokea pamezibwa sasa wewe usilazimishe majibu. Ndo maana Chagonja ameacha ngonjera.
Tatu, waandishi 2 waliokuwepo pale ambao walitoa ushuhuda kupitia ITV na ambao maelezo yao yanafana kuhusu tukio hilo ndo watakaomaliza tatizo hilo. Hapo hakuna pa kutokea.
Nne, Daudi Mwangosi alikuwa kazini kivyake kama mwandishi ktk eneo la tukio kwa hiyo hata kama alifanya fujo kwa jinsi polisi walivyo wengi wangeweza kumkamata kwa njia za kawaida na siyo kumlipua bomu.
Tano, Mbona mwanzoni walisema wafuasi wa chadema walimpiga kisogoni na kitu kizito? Baada ya picha wamekaa kimya. Mungu anaipenda Tanzania bado

Wewe hujaangalia hiyo picha vizuri, yule mwandishi unayemsema kamshika kiunoni sio mguuni, yaani kamkumbatia kabisa, swali langu kama hiyo bunduki mnayosema ililipua bomu, Je kwanini huyo askari naye asitolewe utumbo? au tumbo lake la Chuma? Jibu hoja, acha kuzunguka, kiuno siyo mguu. angalia kwa jicho la kawaida usiangalie kiushabiki wa CDM sote tuna machungu na ndg yetu MTz mwenzetu.
 
Hongera kwa kuwa na kipaji cha kutunga mashairi, kwa kweli mungu amekuaalia kwa hilo. Hivi hujiulizi kwa nini iwe mikutano ya CDM tu, na kwanini iwe polisi wawaonee CDM tu, wakati kuna vyama lukuki. kwa ufupi CDM ina viongozi wakurupukaji ndo maana mnaona haya yanatokea. tuanzie arusha, waliambiwa fanyeni mkutano lkn msiandamano wakalazimisha, singida wamaua na kumsingizia mwigulu kwa sababu aliwapa live bungeni, Morogoro yametokea hayox2, Iringa yametokea hayox2, sasa kwanini watu wasiamini kwamba CDM ni wauwaji kwa kutotii sheria za nchi, na badala yake kufanya ubabe hata kwa vyombo vya dola? Tafakarini enyi mlio gizani.
Hivi pamoja na maelezo yooote bado hujaelewa mantiki ya kuhusisha polisi na mauaji yanayotokea kuwa yalipangwa? Wewe huwezi kuelewa tena maana kuna dalili zote kuwa huna uwezo huo
 
Mtu mshamba anapojaribu kufanya jambo flani ili aonekane mjanja hujikuta anakosea na kuzidi kuonekana mshamba maradufu.
Ccm kila wanapojaribu kufanya jambo flani ili waonekane ni chama safi, wanajikuta wanakosea na kuzidi kukichafua chama chao na kuonekana ni adui mbele ya watanzania.
Viongozi wa ccm na vibaraka wao wamekua kama wajenzi wa mnara wa babeli,
Nape akiomba nyundo nchemba analeta msumeno,
shingela akiomba msumari wassira analeta koleo,
Nchimbi akiomba kobiro tendwa analeta bawaba.
CCM imelaanika kiwango ambacho kila maovu wanayofanya yanadhihirika mbele ya watanzania.
Ccm is in grave condition.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums

Mkuu Daudi.
Nina majonzi sana baada ya kusoma hii taarifa ya Aweda lakini haka ka mchango kako hapa juu kamenifanya nitabasamu kwa uchungu.

Anguko la ccm ni mpango wa Mungu, na kwa kuwa sauti ya wengi ni sauti ya Mungu basi naamini hawana mipango mibaya watakayo acha kupanga halafu isivuje. Lazima ivuje tu maana muda na wakati ndio umewadia.

Sent from BlackBerry 8520 authorized by JamiiForums.
 
Back
Top Bottom