Busha ambalo halijakomaa na kukua!
Ha ha haaaaaaaa...una damu nzuri unaumwa ugonjwa mmoja na pro jk
Lool ..lugha kali sana. . Twaita DRE .. "digital rectal examination" .. nilipokuwa junior Dr muhimbili nlikuwa napata shida kuwaelelezea wazee kwamba nataka kuwafanyia hio exam .. dah kibasila ward 14 hiyo. . Anyways wengi wanakubali ..ni mzee mmoja tu mpemba aligoma. . Nikampa discharge hapohapo
Jamani mwenzenu wiki ya pili sasa nasumbuliwa na maumivu ya tezi dume, hivi nini kinasababisha huu ugonjwa n' nani anajua tiba yake?
Busha ambalo halijakomaa na kukua!
Jamani mwenzenu wiki ya pili sasa nasumbuliwa na maumivu ya tezi dume, hivi nini kinasababisha huu ugonjwa n' nani anajua tiba yake?
hivi kuna tofauti yoyote kati ya Tezi dume na Busha?? Au ni tafsida tu imetumika??