Sam GM
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 535
- 28
sijui tatizo ni nini.. labda wakati naswitch toka automated broadcasting na ninapokuwa live studio.. .. sasa hivi niko "live" kama mnapata tatizo hilo basi mtaniambia..
Mda huu nakupata freeeeeshyyyyy
sijui tatizo ni nini.. labda wakati naswitch toka automated broadcasting na ninapokuwa live studio.. .. sasa hivi niko "live" kama mnapata tatizo hilo basi mtaniambia..
Kuna serikali mbili; inayoongozwa na JK na ile inayoongozwa na mafisadi, chini ya EL na RA .... hao askari wametumwa na serikali ya EL na RA
Nadhani mwanasheria wake anaweza kufanya hivyo..Ama kama nimekosea wanasheria wanirekebishe hapa.
nitajaribu kumpata kubenea usiku huu...
Mkuu Kasheshe,
Heshima mbele, hapa nimekusikia sasa naomba tena kukuuliza one more question, una maana kuwa haya unayosema yamefanyika je ni within sheria na katiba ya Jamhuri yetu?
Meaning mahakama kumauru wananchi wapekulwe majumbani mwao au kwenye makazi yao, kwa amri ya mahakama bila kujua sababu na kwamba sababu wataambiwa baadye huko mahakamani kwenyewe, unasema hii ni within sheria na katiba ya Jamhuri yetu?
Na hakuna kosa la kisheria lililofanyika hapa? au?
Mkuu wangu definition ya "within the framework of our constitution" ni ngumu sana. Kuna vipengele vingi vya kijinga sana Rais, RC, DC wanaweza kutoa decree yoyote ambayo ni unconstitutional na inayokwenda kinyume na sheria lakini ikakubalika.
Kwa hiyo weather Mahakama inatoa search warrant au hapana that is not the question,
kwa hiyo la muhimu hapa ni kuangalia ni nini kimewapeleka kuwa harass kina kubenea. Kungekuwa na legak system nzuri hata polisi wanaweza kushitakiwa, lakini sijui kama kina kubenea wanaweza kufanya hili.
Akizungumza na Tanzania Daima, Kubenea alisema makachero hao ambao hawakusema malengo yao, pamoja na kuonyesha kuwa na hati ya kufanya upekuzi, walisema wamefika kutafuta nyaraka moja ya siri ambayo hata hivyo hawakuitaja.
Naomba kutofautina na wewe hapa mkuu, hizi ni sheria ambazo tumetoka nazo uhuru, mpaka leo zimetutunza sisi wengine mpaka tumekuwa watu wazima na sasa hivi tuna-function kama bina-adam wengine wote dunaini,
ukweli ni kwamba hizi zilikuwa sheria za utawala wa chama kimoja, sasa tulipoingia utawala wa vyama vingi ulikuwa ni wajibu wa waasisi wa upinzani, kudai zibadilishwe, kwa sababu tunaingiaje kwenye siasa za vyama vingi na sheria za chama kimoja kwenye taifa?, lakini kuziita kuwa ni sheria za kijinga hulitendei hakia taifa na sisi wananchi wengine tunaoheshimu uzalendo wetu,
Sheria zimepitwa na wakati hilo halna mjadala, lakini kuziita kuwa ni za kijinga ni way much over the line!
Hapana it is a question tena a valid one, kwa sababu mahakama imeandika warrant basi ni valid kwa mujibu wa katiba, huko US zamani ilikuwa hivyo hivyo kwa polisi mpaka wakapate warrant kutoka kwa mahakama, siku hizi wamebadili hiyo, polisi wanayo haki ya kukusimamisha barabarani na wakiamini kuwa wana probable course, wanakusachi na watakachopata ni valid as legal evidence against a criminal,
Zamani huko US, kama polisi wamepwaa warrant ya kukupekua kama una bangi na mahakama, wakikukuta na cocaine, haiwezi kukubaliwa na mahakama kama ushahidi, lakini hayo yote siku hizi yamebadilishwa baada ya September 11, sasa na sisi bongo tunahitaji mabadiliko ya katiba, lakini until then bado sheria zetu ni valid kwenye mkono wa sheria!
Polisi hawawezi kushitakiwa kwa prosecute a valid search warrant, tatizo so far ni sababu ipi iliyowafanya wawapekue, lakini as far as kitendo cha kuwapekua, kiko valid kabisa under sheria zetu, kwa sababu kibali kimetolewa na mahakama, na hiyo inairidhisha katiba yetu, Imean wakati tunajaribu kuwa pamoja na ndugu zetu kina Kubenea, tusije tukawaponza na maneno yasiyokuwa na uhakika!
Nakubaliana na wewe mkuu labda nimevuka mstari. Lakini naweza kukurudisha kidogo nyuma kuwa sheria zilizopo in principal sio za chama kimoja ila ni za kikoloni. Lengo lilikuwa ku-serve the purpose of a governor. Wakati wa kutoa uhuru kama utakumbuka kule Lancaster house walibadilisha majina tu governor kuwa waziri mkuu, na vipengele vingine vidogo vodogo lakini kimsingi contents za katiba mpaka leo zimebaki zile zile za mkoloni na zina-serve the same purspose, japokuwa vimewekwa viraka vingi ambavyo wakati fulani vinakinzana . Kama kun genuine ground within legal framework ya kutoa warrant na kwenda kum-search mtu hilo halina tatizo. Lakini what if fisadi anamsukuma Hakimu kutoa search warrant, what if the search is arbitrary serikali/polisi haiwezi kufikishwa mahakamani?
Au inapofika wakati serikali inafanya uhalifu kwa kisingizio fulani yenyewe haiwezi kufikishwa mahakamani?
Nakubaliana na wewe kuhusu kuwa waangalifu tusiwaponze waandishi makini wanaotusaidia kuifahamu nchi yetu vizuri.
Nakubaliana na wewe mkuu labda nimevuka mstari. Lakini naweza kukurudisha kidogo nyuma kuwa sheria zilizopo in principal sio za chama kimoja ila ni za kikoloni. Lengo lilikuwa ku-serve the purpose of a governor. Wakati wa kutoa uhuru kama utakumbuka kule Lancaster house walibadilisha majina tu governor kuwa waziri mkuu, na vipengele vingine vidogo vodogo lakini kimsingi contents za katiba mpaka leo zimebaki zile zile za mkoloni na zina-serve the same purspose, japokuwa vimewekwa viraka vingi ambavyo wakati fulani vinakinzana . Kama kun genuine ground within legal framework ya kutoa warrant na kwenda kum-search mtu hilo halina tatizo. Lakini what if fisadi anamsukuma Hakimu kutoa search warrant, what if the search is arbitrary serikali/polisi haiwezi kufikishwa mahakamani?
Au inapofika wakati serikali inafanya uhalifu kwa kisingizio fulani yenyewe haiwezi kufikishwa mahakamani?
Nakubaliana na wewe kuhusu kuwa waangalifu tusiwaponze waandishi makini wanaotusaidia kuifahamu nchi yetu vizuri.
Mahakama za nchi zote daima ni neutral. Mahakama haiwezi kuamua kuwa nyumba ya Kishoka ipekuliwe mpaka kuwepo na mlalamikaji atakayetoa ushahidi kuwa anaamini Kisura wa Jasusi kafichwa nyumbani kwa Rev. Kishoka. Ukishatolewa ushahidi huo au sababu zinazopelekea kuamini hivyo ndipo mahakama inapoweza kutoa search warrant. So there must be someone high up who wanted Mwanahalisi offices searched.
Mahakama za nchi zote daima ni neutral. Mahakama haiwezi kuamua kuwa nyumba ya Kishoka ipekuliwe mpaka kuwepo na mlalamikaji atakayetoa ushahidi kuwa anaamini Kisura wa Jasusi kafichwa nyumbani kwa Rev. Kishoka. Ukishatolewa ushahidi huo au sababu zinazopelekea kuamini hivyo ndipo mahakama inapoweza kutoa search warrant. So there must be someone high up who wanted Mwanahalisi offices searched.
Mahakama za nchi zote daima ni neutral. Mahakama haiwezi kuamua kuwa nyumba ya Kishoka ipekuliwe mpaka kuwepo na mlalamikaji atakayetoa ushahidi kuwa anaamini Kisura wa Jasusi kafichwa nyumbani kwa Rev. Kishoka. Ukishatolewa ushahidi huo au sababu zinazopelekea kuamini hivyo ndipo mahakama inapoweza kutoa search warrant. So there must be someone high up who wanted Mwanahalisi offices searched.
Jasusi ni lazima kuwe na uchunguzi unaoendelea ama kesi.
Na ni prosecuters wanaokwenda kuomba hiyo warrant kutoka mahakamani.
Na kabla hawajakubaliwa ni lazima waje na sababu za kutosha kwamba kuna ushahidi muhimu ambao wanahatari ya kuupoteza endapo hawata execute hiyo warrant.
Kwa hiyo hata kama there was someone high haina maana kuwa hakuna prosecuters ama hata sababu za warrant yao.
Tatizo pia bado liko kwasabau hata warrant yenyewe haikuwa na jina la kubenea bali mtu mwingine kabisa.
Hivyo kina Kubenea na mwanahalisi wanaweza kuwageuzia kibao.
Hivi mahakama zetu zinatoa search warranties au basi tuu police wanaexcute kutokana na mapenzi ya boss wao?
Mkuu Icadon,
Umewezaje ku guess hicho kitu? Kama wewe sio Mwanasheria basi una gift ya ku guess.
Yani sheria inasema hivyo hivyo. Polisi wafuate mapenzi ya mabosi wao kupata search warrant.
Ni kituko!
Tatizo, Icadon, ni kwamba tumekataa kubadilisha sheria tulizorithi kwa watu ambao hata wenyewe wamesha zibadilisha. Wa Europe walipoenda kuanzisha America walikwenda na Sheria za Ufalme wa Uingereza, lakini siku hizi wanasema sheria karibu zote za Marekani zimeandikwa upya, statutory law, na sio tena common law ya Mwingereza. Sisi bado tunazo!
Hicho kitu ulichokisema hapo juu hiki hapa:
CRIMINAL PROCEDURE ACT 1985-9
Procudure Relating to Criminal Investigation
Power to issue Search Warrant
38.-(1) If a police officer in charge of a police station is satisfied that there is reasonable ground for suspecting that there is in any building, vessel, carriage, box, receptacle or place:
(i) anything with respect to which any offence has been committed;
(ii) anything in respect of which there are reasonable grounds to believe that it will afford evidence as to the commission of any offence;
(iii) anything in respect of which there are reasonable grounds to believe that it is intended to be used for the purpose of committing any offence, and the officer is satisfied that any delay would result in the removal or destruction of that thing, or would endanger life or property,
he may search or issue a written authority to any police officer under him to search the building, vessel, carriage, box, receptacle or place as the case may be.