Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,358
Asijekuwa anaokota shanga akidhani dhahabu.......watamcheka kina Lizzy na AD.fellow tablet huyo jamaa habari zisizo rasmi zinasema walimdaka border la zimbabwe anauza zahabu feki, sasa sjui kama ataluudi tena JF
Hili angalizo...kwa hiyo unapiga kavu, unawahi kikombe fasta!Loliondo hakuna zali babu. Kule ni genye free zone...
Babu anatibu magonjwa yote, ikiwemo ngoma....you have been notified!Yani ukipata ngoma hapo hata babu hawezi kutibu!