Kuvaa Kofia za Kijeshi

Ndahani

Platinum Member
Jun 3, 2008
18,119
9,049
Wakuu ninaomba kuelimishwa kwa wale ambao wanajua zaidi, tofauti iliyopo katika uvaaji kofia kwa wanajeshi.Kwa mfano wakati wa mazishi ya Mzee Kawawa, kuna wanajeshi waliokuwa wana kofia za kijani sawa na sare zao za kijeshi na wengine walivaa kofia nyekundu na sare za kijani.Je uvaaji huo wa kofia tofauti una maana yoyote au ni basi tu imetokea kuwa na mchanganyiko wa aina hiyo? Kama ndivyo nini tofauti kati ya wenye kofia za kijani na nyekundu?
 
Mkuu Ndahani kofia za kijeshi zinaenda na kada za vyeo,kwa ufahamu wangu non commisioned pamoja na junior commisioned officers, wote wanavaa kofia hazina rangi nyekundu na kuanzia senior officer wao wanavaa kofia zenye rangi nyekundu.
katika mazishi ya mzee Kawawa niliona waliofanya gwaride la mazishi yake walikuwa maafisa wakuu (senior officers) na ndio maana kofia hizo nyekundu zilitawala sana.
 
Nikikuelewa nitakujibu vyema.
1.Waliovaa kijani ni wanajeshi kwa ujumla wake.,
2.Waliovaa nyekundu ni kitengo cha POLISI NDANI YA JESHI(military police-MP).
3.Kama kofia hizo zote kijani na nyekundu zilikuwa ktk muundo wa 'kepu' basi wote waliovaa nyekundu(sio nyekundu bali ni nyeusi zenye sehemu nyekundu) walichanganya mavazi kwani walitakiwa wavae suruali nyeusi na shati nyekundu.
Kama sija kujibu ...................FAFANUA VYEMA.
 
Wewe umefulia kweli uniform yao inakuhusu nini! wee achana nao au nawewe unataka uvae? ngoja wakudunde ndo utaheshimika!
 
Back
Top Bottom