Jumakidogo
R I P
- Jul 16, 2009
- 1,851
- 417
naona humu kuna waislamu wakorofi...mmepewa aya sasa cha kufanya tupeni maana yake ugomvi uishe...kumbukeni wote sisi ni ndugu
Hakuna mkorofi hapa, amani ipo tu mzee. Yeye katuwekea kipande cha aya ambacho chini yake kuna maelezo ya ufafanuzi wa hiyo aya. Vitabu hivi vimekusanya mambo mengi mengi. Kutajwa kitu haramu haina maana ndiyo kimeruhusiwa kutumika. Pale imetajwa divai, au mvinyo hakuna ajabu la kushangaza. Kwa mfano, tunajua kuwa bangi ina madhara kwa binadamu. Lakini mbangi si umeumbwa na yeye mwenyewe Mungu? Ndiye yeye huyohuyo inaitaja divai hapo. Lakini anaitaja vipi, pale chini kuna ufafanuzi.