Narubongo
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 2,768
- 2,750
Kwa nini ununue eneo wakati kuna mapande ya kujikatia bure kabisa,nguvu yako tu.
NARCO ile ya kongwa iliuzwa kwa arnd 200m ikiwa na miundombinu yote, ndani kulikuwa na ngo'ombe wengi sana, twiga na wanyama pori wengine kibao. Ranch za serikali zote sasa hivi zinajifia.. Nataka kujua ni kwanini nishindwe? last time source iliniambia kuwa watz huwa tunakosea kujaza form za maombi