ndugu zangu naomba mniambie maana halisi ya mbunge anaposema ameonga mkono hoja kwa 100% alafu baadae analalamika kuwa jimbo lake linamatatizo mengi na hayatatuliwi!! sasa hapa mm ndio sielewi maana ya kuunga mkono hoja kwa 100%
ndugu zangu naomba mniambie maana halisi ya mbunge anaposema ameonga mkono hoja kwa 100% alafu baadae analalamika kuwa jimbo lake linamatatizo mengi na hayatatuliwi!! sasa hapa mm ndio sielewi maana ya kuunga mkono hoja kwa 100%