Nadhani wewe unapanda vile vindege vya TANAPA vya watu wa nne, nina imani kama unapanda ndege kubwa kubwa tatitizo hili halipo ama lipo kwa kiasi kidogo sana
Utofauti wa mkandamizo kati ya hewa iliyopo ndani ya sikio na hewa ya nje ndio sababu, hii
ni kutokana na utofauti wa mwinuko.
Jaribu kufungua na kufunga mdomo mithili ya kupiga mwayo.
Kama una "chewing gum", jaribu kutafuna.
Tumia vidole kuziba matundu ya sikio, huku ukiwa umebanua mdomo.
Wadau naomba msaada mara nyingi nasafiri na ndege na mara zote masikio huuma sana, inasababishwa na nini na njia gani naweza kuzuia hali hii, mara zote hizo abiria wengine huwa wako normal.
Kwenye seat ya mbele yako, back pocket inakuwa na karatasi ya maelekezo. Njia nzuri ya kuondoa ears popping ni kufunga mdomo na kuujaza hewa as much as u can (kama unapuliza puto). Utasikia jaws zinaachia. Endelea hadi utakapoona kitu kimeachia kwenye masikio. Ukizoea kusafiri na ndege itaacha hii hali,lol!
Nadhani wewe unapanda vile vindege vya TANAPA vya watu wa nne, nina imani kama unapanda ndege kubwa kubwa tatitizo hili halipo ama lipo kwa kiasi kidogo sana
kussy, ni tatizo la kawaida hata kwa regular travellers depending on Pressure Changes ndani ya ndege.Wadau naomba msaada mara nyingi nasafiri na ndege na mara zote masikio huuma sana, inasababishwa na nini na njia gani naweza kuzuia hali hii, mara zote hizo abiria wengine huwa wako normal.
ndege ninazopanda mara nyingi ni caravan za watu 12