Ndugu zangu naomba kufahamu Nyama ktk uke wa mwanamke zikiwa zimejitokeza nje, maana yake nini? Ufahamu nilionao ni kwamba amekaangwa sana Je hili ni kweli? Au ni maumbile.
Naomba radhi Kama nimeudhi watu.
Nadhani unaongelea genital prolapse! Ambayo huwapata mara nyingi watu walioozaa watoto wengi kwa njia ya kawaida vaginal delivery au waliopata difficult labor , lakini pia huwapata mabinti wadogo wenye collagen disorders. Na husababishwa na kulegea misuli inayoshikilia kizazi (kwa ndani) kulegea.