Kuna tabia imejengeka katika baadhi ya mitaa ya miji kadha. Usiku wale waliokosa ustaarabu ndio wanautumia kubeba viroba vya takataka na kuvimwaga katikati ya njia. tabia hii wana JF mnaizungumziaje ? Kwa mtindo huu kweli miji yetu itakuwa safi ?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.