Wadau nakuja na kiti kinachonisikitisha sana,kuna tabia sasa inakua kwa kasi ya baadhi ya wasanii wa maigizo na filimu hapa tanzania kushirikisha watoto wadogo katika matukio ya maigizo/picha,cha kusikitisha zaidi watoto hawa ni wa kati ya miaka 2-5
nitatoa mifano kadhaa nimeangalia kanda mmoja katika tukio moja watu wazima wawili wana rushiana mtoto wa miaka sio zaidi ya mitano kama mpira.
Na wengine mama anapigwa na mmewe huku kabeba mtoto mchanag mgongoni na kibaya zaidi mtoto yule haelewi kinachoendelea akalia kwa mshituko mkubwa sana.je haki za watoto zikowapi? Na matukio haya ya kutisha hayawezi kuwaasili watoto hawa kiakili?
nitatoa mifano kadhaa nimeangalia kanda mmoja katika tukio moja watu wazima wawili wana rushiana mtoto wa miaka sio zaidi ya mitano kama mpira.
Na wengine mama anapigwa na mmewe huku kabeba mtoto mchanag mgongoni na kibaya zaidi mtoto yule haelewi kinachoendelea akalia kwa mshituko mkubwa sana.je haki za watoto zikowapi? Na matukio haya ya kutisha hayawezi kuwaasili watoto hawa kiakili?