Nina cm ya Nokia 2690 natumia line ya vodacom. Nataka kuitumia kama moderm kwenye pc yangu. Naomben msaada wanajamii nifanyeje. Natarajia mtanisadia
Mbona mnapata shida wakati kuna voda shops na customer care services bure. Piga simu 100 au tembelea vodashop iliyo karibu na wewe. Hizi zimewekwa kwa ajili ya matatizo kama haya.
hakikisha ktk cm yako unaweza kupata internet kama haiwezekani ingia ktk website ya vodacom ktk pc ili kufanya registration Vodacom Tanzania - Homepage baada ya hapo hakikisha hiyo cm ina usb cable au pc yako ina bluetooth then fungua website ya nokia udownload nokia pc suite. kamilisha hayo kwanza...
Mbona mnapata shida wakati kuna voda shops na customer care services bure. Piga simu 100 au tembelea vodashop iliyo karibu na wewe. Hizi zimewekwa kwa ajili ya matatizo kama haya.
Mbona mnapata shida wakati kuna voda shops na customer care services bure. Piga simu 100 au tembelea vodashop iliyo karibu na wewe. Hizi zimewekwa kwa ajili ya matatizo kama haya.
....Kwa kuongezea waweza kuhitajika kuweka dial up number. ni *99#hakikisha ktk cm yako unaweza kupata internet kama haiwezekani ingia ktk website ya vodacom ktk pc ili kufanya registration Vodacom Tanzania - Homepage baada ya hapo hakikisha hiyo cm ina usb cable au pc yako ina bluetooth then fungua website ya nokia udownload nokia pc suite. kamilisha hayo kwanza...