Binti Magufuli
JF-Expert Member
- Apr 2, 2011
- 7,484
- 5,142
Hivi Nape bado yuko na katuni huku??? hajui kama yeye na wenzake wanamagamba ndio wamefilisika hadi kufikia kuiba maiti mochuari
Jeshi kutumiwa kulinda majambazi wa madini yetu imekaa sawa.Jeshi kutumiwa na chama tawala kuua watu wake ambao ndio wanawalipa mishahara ni sawa na kubaka siasa.na polisi kuua raia na kuwaambia wafiwa serikali itagharimia mazishi ni sana na kuhaini wananchi.
Join Date : 14th September 2008
Posts : 65
Thanks 0
Thanked 38 Times in 22 Posts
Rep Power : 23
Nimeona kikatuni mahali mtu mmoja kavaa kombati akiwaambia wafiwa subirini msizike msubiri maandamano yetu hapa.......hii ni dhihaka au kweli?
Kutumia dini/ukabila kisiasa ndio uelewa wakoNimeona kikatuni mahali mtu mmoja kavaa kombati akiwaambia wafiwa subirini msizike msubiri maandamano yetu hapa.......hii ni dhihaka au kweli?
Mkuu huo ndo uwezo wa katibu mwenezi wa MAGAMBA ulipoishia, Ndo mawazo yake bora angekuwa ni Marelia Sugu!Ni kweli kabisa ,si vizuri kumtumia marehemu kisiasa. However, by reading your post I don't know what are you exactly trying to insuniate. As a serious politician you should look at it critically and analytically
Yaani huyu dogo tangu ajiunge JF miaka mitatu hajaona posti hata moja ya kutolea 'THANKS'???!!!
na wewe ni mkama yupi mbona ccm imekwishaMbona mnapoteza maana, jadilini hoja iliyo kwenye board. Kama unaona haina mshiko unapitiliza.
Nimeona kikatuni mahali mtu mmoja kavaa kombati akiwaambia wafiwa subirini msizike msubiri maandamano yetu hapa.......hii ni dhihaka au kweli?
Hakukuwa na mtu Serikalini ambaye angeweza kumuwakilisha Kikwete katika kutoa rambi rambi kwa familia ya Sheikh Yahya ili aweze kushughulikia matatizo mbali mbali ndani ya nchi yetu ambayo yanapigiwa kelele na Watanzania katika kila kona ya nchi yetu!? Au naye anatumia marehemu kisiasa zaidi? Mbona wale Watanzania waliouawa kule Arusha na hivi karibuni kule Tarime hatujamuona Kikwete kwenda kutoa rambi rambi kwa familia za wafiwa!?
Nape... Hivi hatari zaidi ni kuua (yaani kuchukua uhai mtu mwingine bila matakwa yake) au kumtumia marehemu kuwasaidia ndugu wa marehemu kupata haki??
Nimeona kikatuni mahali mtu mmoja kavaa kombati akiwaambia wafiwa subirini msizike msubiri maandamano yetu hapa.......hii ni dhihaka au kweli?