Mkuu unakusudia kumwambia nini Nape kupitia hii picha ?
Nimeona kikatuni mahali mtu mmoja kavaa kombati akiwaambia wafiwa subirini msizike msubiri maandamano yetu hapa.......hii ni dhihaka au kweli?
Ukiwa mwongo usiwe msahaulifu, otherwise unaowaongopea watakuwa wajinga. Ndio sera za Ccm.Tuseme ni mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu, kumtumia DC Kimario kisiasa, ilhali ni kiongozi wa serikali ni kufilikisika kisiasa, tena sana , maana naona matamko yanayoporomoshwa kila kukicha kichochezi, hivyo DC amekuwa mtaji wa kura....
Mungu ibariki Tanzania
Hivi unakumbuka ulipokuwa Serengeti ulimshambulia marehemu ambaye hawezi kupata nafasi ya kujitetea mbele ya umma uliokuwa unahutubia. Wewe ni mtu wa ajabu sana, ndio maana ulizomewa.Nimeona kikatuni mahali mtu mmoja kavaa kombati akiwaambia wafiwa subirini msizike msubiri maandamano yetu hapa.......hii ni dhihaka au kweli?
Nimeona kikatuni mahali mtu mmoja kavaa kombati akiwaambia wafiwa subirini msizike msubiri maandamano yetu hapa.......hii ni dhihaka au kweli?
Hivi unakumbuka ulipokuwa Serengeti ulimshambulia marehemu ambaye hawezi kupata nafasi ya kujitetea mbele ya umma uliokuwa unahutubia. Wewe ni mtu wa ajabu sana, ndio maana ulizomewa.