Nimeona kikatuni mahali mtu mmoja kavaa kombati akiwaambia wafiwa subirini msizike msubiri maandamano yetu hapa.......hii ni dhihaka au kweli?
Mkuu kule kugumu na hoja ni nzito na hana majibu ya haraka ndo maana hawezi kurejea kule may be anaandaa hojaHeshima kwako Nnauye Jr.
Mkuu hii ni kweli CHADEMA wanatumia kila aina ya fursa kujijenga kisiasa kama wafanyavyo CCM.Mchezo huu ni mbaya lakini kwa mazingira ya Tanzania ni jambo la kawaida sana mbona CCM wanawatumia Masheikh ubwabwa kuipakazia CHADEMA ni chama cha wakatoliki ?
Siasa za aina hii zimeasisiwa na CCM na serekali yake, zipo taarifa za uhakika CCM wanasaidiwa na TISS kusambaza uzushi bila kujali madhara yake kwa Tanzania na taifa kwa ujumla. Mkuu umesahau CCM walitumia kifo cha Chacha Wangwe?
Tangu enzi za NCCR Mageuzi ya Mzee wa Kiraracha CCM wamekuwa wajuzi wa kutumia udini na ukabila kuwagawa watanzania. Nia ni kubaki madarakani hata kama uwezo wa kuongoza haupo kabisa.
Mkuu naomba urejee kuleee, W J Malecela kuna hoja zinasubiri majibu toka kwako.
Nimeona kikatuni mahali mtu mmoja kavaa kombati akiwaambia wafiwa subirini msizike msubiri maandamano yetu hapa.......hii ni dhihaka au kweli?
Nimeona kikatuni mahali mtu mmoja kavaa kombati akiwaambia wafiwa subirini msizike msubiri maandamano yetu hapa.......hii ni dhihaka au kweli?
Mkuu huyu hana hoja, hakuwahi kuwa nayo na anatumiwa tu na atatupwa.Mkuu kule kugumu na hoja ni nzito na hana majibu ya haraka ndo maana hawezi kurejea kule may be anaandaa hoja
We unaonaje?
Mkuu huyu hana hoja, hakuwahi kuwa nayo na anatumiwa tu na atatupwa.
Mkuu kule kugumu na hoja ni nzito na hana majibu ya haraka ndo maana hawezi kurejea kule may be anaandaa hoja
Hoja zipi atakazoandaa? wakati hata mwenyekiti wake hawezi kujibu zile hoja, huyu thread za kimzaha mzaha kama hii ndio level yake. ningemshauri kwa nafasi yake ndani ya chama chao post dhaifu kama hizi awe anapost kule facebook ndio kuna watu wengi wa mawazo duni ya viwango hivi.
Kama huyu Nape angekuwa na akili timamu hili swala la Tarime unatakiwa kuskip kwa maslahi yako, watu tumepoteza ndugu zetu halafu wewe unatuletea upuuzi hapa! mbona uwaulizi ccm wenzako kwa nini watoe ubani wa shilling millioni 3 kwa kila familia wakati waliouwawa ni majambazi?
Hitimisho: eti na mimi nasikia ulisema CHADEMA ni chama cha wachaga je nikweli? na ni lini utafanya ziara mkoani Kilimanjaro?
Critically? Analytically? Never! You should understand that Nape is Tambwe Hiza's boss in their propaganda wing of chama cha magamba; If the direction of thinking and analyzing issues of Tambwe Hiza in fulfilling his responsibilities is 100% then that of Nape should be twice as much!Ni kweli kabisa ,si vizuri kumtumia marehemu kisiasa.However,by reading your post I dont know what are you exactly trying to insuniate.As a serious politician you should look at it critically and analytically