Nyikanavome
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 482
- 176
Habarini za leo wana JF
Nina kagari kangu nataka nikageuze kaweze kutumia gesi na petrol ila ningependa nipate uzoefu kama kuna mtu ana gari yake inatumia gesi anipe uzoefu wake hasa wa gharama za uendeshaji. Pale sabasaba mwaka huu kuna jamaa waliokuwa wanatangaza hiyo product wanasema inaweza kupunguza gharama za uendeshaji hadi kwa asilimia 50%, ila bei yao ya ufungaji kwa gari ndogo ni kama 1,600,000/=
Naombeni uzoefu jamani
Nina kagari kangu nataka nikageuze kaweze kutumia gesi na petrol ila ningependa nipate uzoefu kama kuna mtu ana gari yake inatumia gesi anipe uzoefu wake hasa wa gharama za uendeshaji. Pale sabasaba mwaka huu kuna jamaa waliokuwa wanatangaza hiyo product wanasema inaweza kupunguza gharama za uendeshaji hadi kwa asilimia 50%, ila bei yao ya ufungaji kwa gari ndogo ni kama 1,600,000/=
Naombeni uzoefu jamani