Raia Fulani JF-Expert Member Mar 12, 2009 10,845 2,667 Oct 16, 2010 #1 wadau nahitaji kufahamu mtu anatumaje hivyo vitu pale maana hamna maelekezo yoyote. au anabandika yeye mwenyewe
wadau nahitaji kufahamu mtu anatumaje hivyo vitu pale maana hamna maelekezo yoyote. au anabandika yeye mwenyewe
Mpambalyoto JF-Expert Member Mar 26, 2010 752 3 Oct 16, 2010 #2 Unamtumia yeye mwenyewe, akiamua anaweka au la kwani blog ni YAKE. Ameweka email address yake kwenye blog yake
Unamtumia yeye mwenyewe, akiamua anaweka au la kwani blog ni YAKE. Ameweka email address yake kwenye blog yake
Raia Fulani JF-Expert Member Mar 12, 2009 10,845 2,667 Oct 16, 2010 Thread starter #3 nimeona hiyo email inasumbua ndio maana nikauliza huku. thx kwa info
Msanii Platinum Member Jul 4, 2007 22,545 29,618 Oct 16, 2010 #4 achana naye anafanya monitoring kali kwenye globu yake. anatumiwa hivyo hataki slight mistakes
Raia Fulani JF-Expert Member Mar 12, 2009 10,845 2,667 Oct 16, 2010 Thread starter #5 Haya. Ngoja tumwache