Puppy
JF-Expert Member
- Oct 6, 2011
- 2,995
- 2,494
sijawah ona 1st yr washamba kama hawa wa mwaka huu hapa udsm,sijui ni utoto,yani hawana umoja kabisa,natabir tukiondoka sisi na hawa madogo wa 2nd yr,udsm kitakua chuo cha kilokole.
Facebook, Kiduku, Usharobaro, Bidhaa Za kichina na mengine mengi ndio yanawafanya hao madogo wawe madunya. Wapeni semina wajue chao ni kipi..
Wasipoelewa msibishane nao sana waacheni wakikosa hela ya kununua dawa za kichina na carolite watagundua wenzao walikuwa wanazungumzia nini